NI USEMI UPI UMEKUKAMATA?:
1. "Kuzaliwa masikini siyo kosa lako,ila kufa masikini ni ujinga wako." ~ Bill Gate
2. "Kushindwa kupanga ni kupanga kushindwa." ~ Felix Bundala
3. "Heri kufa na mawazo yanayoishi, kuliko kuishi na Mawazo yaliyokufa." ~ Che Guevara
4. "Vita inamalizwa kwa vita na ili tuachane na matumizi ya bunduki inabidi itumike bunduki." ~ Mao ze Dong
5. "Sitamani kumjua babu yangu alikuwa nani, ninachotaka kumfahamu mjukuu wake atakuwa na tabia gani." ~ Martin Luther King
6. "Usimuulize mtu yoyote anayenijua mimi maana utamjua yeye kupitia mimi." Joe Lescot
7. "Muonekano siku zote hutengeneza uwezekano." ~ Lucky Crackent
8. "Hatuwapendi wanawake kwa sababu ni wazuri, ila tunawaona wazuri kwa sababu tunawapenda." ~ Luck Crackent
9. "Watu ni wengi ila binadamu ni wachache." ~ Fidel Castro
10. "Usiishi kwa sababu unaishi, tafuta sababu ya wewe kuishi." ~ Jay Ozil Cazorla Wilshere
11. "Hakuna mkate mgumu mbele ya chai." ~ Bob Sydou
12. "Kichwa kikubwa bila Akili ni Adhabu kwa miguu." ~ Thabiti Kube..
No comments