TABIA MBAYA KUMI ZINAZOFANYA USHINDWE KUWA NA AKIBA "SAVINGS"....HATIMAE UNAKOSA MTAJI WA KUFANYA MAMBO YAKO...
1.Unanunua nguo bila mpangilio..
Kuna watu wana nguo kama duka. Plz Kuwa na nguo chache Tu huwezi kushindana na fashion.
2.Unanunua Viatu bila mpango.
Viatu pia vinameza savings zetu. Nunua pea chache zenye ubora ili zidumu.
3.Unatoa ofa bar bila mpango.
Nenda bar kwa bajeti mahususi. Hakuna atakae kusifia kwa kutoa ofa hovyo. Kila mbuzi ale kwa urefu Wa kamba yake. Jifunze ubepari.
4.Unatumia hela nyingi kwenye simu ambazo sio productive. Unaweka vifurushi vya week vya sh 7000 au 10000 ili uchati na marafiki Fb au wasaap Huo ni ujinga. Badilika.
5.Unakopa hela benki na kununua vitu kama simu ya milioni na gari ambazo sio productive. Unakosa hela hata ya mafuta, gari la nini kwanini usingewekeza sehemu ili kuwe na mradi Wa kuzalisha ndio ununue gari?
6.Una marafiki wengi ambao ni mizigo kwako au hamuendani kivipato hivyo unajikuta unalazimika kutumia zaidi ya kipato chako ili uwa-impress. Meneja Wa TRA na mwalimu Wa sec unatarajia utoe offer mpaka umfurahishe meneja? Utabaki na sh ngapi toka kwenye salary yako?? Zinduka.
7.Huna timetable ya kudumu ya maisha yako, unajikuta unaburuzwa Tu na marafiki zako kwa kwenda sehemu mbalimbali za matumizi.
Kuwa na ratiba za maisha yako na zisimamie kikamilifu, usiburuzwe!
8.Una michepuko inayokutegemea wewe kwa kila kitu. Wanakuita ATM we we unakenua Tu huzinduki. Badilika.
9.Una huruma sana kuliko kipato chako. Yaani kila ukiombwa unatoa hata kama muombaji hana genuine need. Usiwe mkristo kuliko Yesu. Fanya hivyo kama ni lazima. Ila sio kila anaekupiga mzinga unapigika.
10.Unatembea na hela nyingi kwenye wallet au mshahara wote kwenye wallet au handbag au nyumbani kwako. Unapokuwa na petty cash nyingi unatengeneza mazingira ya kutumia hovyo. Jifunze kuweka hela benki. Tembea na hela Tu unayoihitaji kwa matumizi ya lazima.
Naamini tukizingatia kanuni hizi kumi tutaongeza savings zetu na kuwa na mtaji Wa kufanya vitu vikubwa endelevu
😳😳😳😳😳😳😳.
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hii```"MTAJI WAZO VS MTAJI FEDHA "
Swala la nini kinapaswa kuwa cha kwanza kati ya *mtaji wa fedha na wazo la kibiashara* limewatatiza wengi sawa na shairi lile la darasa la tano liliouliza *"YAI AU KUKU NANI KATANGULIA?"*.
✍🏽Uhalisia ni kwamba hata fedha yenyewe ni wazo na kimsingi kitu chochote cha kushikika kilitokana na wazo fulani na badae wazo hilo likawekwa katika uhalisia.
Siku moja nilikuwa naongea na watu fulani nikawaambia kwamba siku zote mtaji fedha hufuata mtaji wazo .Yapo mawazo ambayo yanakupa mbinu za kupata fedha hivyo basi tatizo kubwa tusiseme ni mtaji fedha lakini wengi tuna tatizo la kukosa mtaji wazo.
📝Ukweli ni kwamba watu wengi hatuna mawazo .Kwa mujibu wa mwandishi wa vitabu,mhamasishaji na mwanzilishi wa makanisa ya winners chappel Pator David Oyedepo anasema “``` 5% ya watu wote duniani ndio wenye mawazo, 15% ya watu wanadhani kuwa wanawaza kumbe hawawazi na 80% ya watu wote duniani wanakufa bila kuwaza”(hii ni hatari).```
Napoleon Hill aliwahi kuuliza swali hili ```"if you get a million dollar what will you do???"```. Napoleon Hill alitambua kuwa binadamu wengi wanalamika hawana fedha huku wakiwa hawana mawazo ya nini watafanya baada ya kupata fedha .Wewe ni shahidi umekuwa ukipata pesa mara ngapi na umezifanyia nini??(unajua mwenyewe).
Watu wengi wana fedha lakini hawana mawazo sasa kwako wewe hii ni fursa ya kutumia mtaji wazo kupata hizi fedha ambazo hazina kazi zimekaa tu .Shida wengi hatutaki kuumiza vichwa na kuzalisha mawazo yenye tija *(productive ideas)*.Kama wewe una sh laki moja na unahitaji kuanza biashara ya laki sita na huna fedha hiyo kwanini usiungane na marafiki wazuri 6 ulionao wenye uwezo wa kupata laki moja kwa mwezi mkafanya mchezo na ukapata hiyo pesa kiulaini???(umekosa mawazo siyo mtaji).
📝Kuna watu hapa mjini ni *madalali* wa mambo lukuki na wanapata hela sana bila kutumia hata chembe ya shillingi .Fikiria dalali anapangisha watu watano au kumi kwa mwezi anapata sh ngapi ?? bado dalali huyu huyu yuko kwenye viwanja, kumbi n.k .Mtu huyu anapata pesa nyingi .
Kuwa dalali siyo kwamba hujasoma , acha mawazo potofu .Dalali ni *Third part* anayekurahisishia kupata huduma uitakayo haraka hata wewe unaweza kuamua kuwa dalali na ukaendelea na maisha (tumekuwa vipofu)
📝Acha kabisa kulalamika kuwa huna mtaji wakati huo una simu ya laki saba na unaweka vifurushi vya elfu moja kila siku na kupanda bodaboda kila siku na hujui kwa mwaka unatumia kiasi kikubwa kiasi gani huku ukisema huna mtaji wa laki mbili kuanzisha biashara
```Akili yako ,Maisha yako```
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiNI USEMI UPI UMEKUKAMATA?:
1. "Kuzaliwa masikini siyo kosa lako,ila kufa masikini ni ujinga wako." ~ Bill Gate
2. "Kushindwa kupanga ni kupanga kushindwa." ~ Felix Bundala
3. "Heri kufa na mawazo yanayoishi, kuliko kuishi na Mawazo yaliyokufa." ~ Che Guevara
4. "Vita inamalizwa kwa vita na ili tuachane na matumizi ya bunduki inabidi itumike bunduki." ~ Mao ze Dong
5. "Sitamani kumjua babu yangu alikuwa nani, ninachotaka kumfahamu mjukuu wake atakuwa na tabia gani." ~ Martin Luther King
6. "Usimuulize mtu yoyote anayenijua mimi maana utamjua yeye kupitia mimi." Joe Lescot
7. "Muonekano siku zote hutengeneza uwezekano." ~ Lucky Crackent
8. "Hatuwapendi wanawake kwa sababu ni wazuri, ila tunawaona wazuri kwa sababu tunawapenda." ~ Luck Crackent
9. "Watu ni wengi ila binadamu ni wachache." ~ Fidel Castro
10. "Usiishi kwa sababu unaishi, tafuta sababu ya wewe kuishi." ~ Jay Ozil Cazorla Wilshere
11. "Hakuna mkate mgumu mbele ya chai." ~ Bob Sydou
12. "Kichwa kikubwa bila Akili ni Adhabu kwa miguu." ~ Thabiti Kube..
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hii🍹Morning Rise Up🍹
✍🏽 *IMANI HII NDIYO YA KUIGA*.
_Wakati ule wa masika chakula kilikuwa haba ,hatukuwa hata chakula cha kutosha kwenye ghala .Ghalani kulikuwa na kiasi kidogo cha maharage kilichokuwa kimebaki .Kwa vile ilikuwa ni wakati wa masika ,Mama alituambia kuwa maharage yaliyobaki yalikuwa ni ya kupanda na si kwa ajili ya chakula .Tulipomuuliza tutakula nini mama alisema "Sikilizeni wanangu ,tutakula hata kisamvu au hata karanga za kupikwa lakini lazima tupande maharage haya tuyapande kwa ajili ya kupata chakula cha mwakani ,tukishindwa kufanya hivyo mwakani hatutakuwa na chakula hivyo basi hatuwezi kuacha kupanda maharage haya yaliyobaki kwa njaa ya mwezi mmoja wakati tukipanda haya baada ya miezi miwili tu tutaanza kufaidi .Ninajua mtaumia sana wanangu lakini hali yetu ya maisha mnaijua ,hatuna uwezo wa kununua kila kitu inabidi tulime ili kupunguza gharama za maisha maana hela ya shule yenu itatoka humu kwenye kilimo hiki hiki_
_Wakati huo mimi na wadogo zangu hatukumuelewa mama maana hatukuwa tunapenda tupitie shida ya kula ugali kwa karanga za kuchemshwa au kisamvu wakati maharage yalikuwa Ghalani lakini baadae maharage yale yalivyopandwa na tukianza kuvuna ndipo tulipokuwwa tunajua nini mama alikuwa anamanisha_
*TAFAKURI & FUNDISHO*
```1. Maisha kuelekea kule unakokutaka yanahitaji *Imani* ,Lakini Imani hiyo iambatane na Udhubutu .Watu wengi huwa wanaweza kuwa na Imani lakini Imani hiyo ikakosa udhubutu .Angalia Mkulima alivyo na Imani kubwa ya kuzika mbegu zake adhini sehemu ambako hata hazioni hata kama hana chakula cha kutosha lakini huamini kuwa mbegu zile anazozika ardhini muda si mrefu zitazaa na kupata faida kubwa kuliko angekula zile mbegu kwa njaa ya siku moja huku akikaribisha njaa ya mwaka mzima .Huu ni udhubutu usio na kifani ambao watu wengi huwa hawawezi kufanya katika maisha..Kujua kuwa mbegu zitazaa nyingi zaidi ni IMANI lakini hatua ya Kuzika mbegu ardhini ni UTHUBUTU .Kumbuka Imani bila matendo Imekufa .Watu wengi wanaamini lakini huwa hawadhubutu .
2. Kuna watu wakisikia unataka kuwekeza sehemu fulani kwa gharama na huna hela za kutosha watakwambia subiri ujipange upate hela kubwa maana ukiweka hela hiyo uliyonayo wanakwambia maisha yako yatakuwa magumu na unaweza kushindwa kuishi .Angalia mkulima hupanda mbegu zake bila majuto hata kama hana chakula .Huamini kuwa kwa kupanda mbegu ndiko kufanikiwa kupata zaidi .Yuko tayari kula chochote kinachopatikana kwa wakati huo akijua tabu atakayopitia ni ya Muda mfupi .Sikia unapoamua kufanya jambo acha kujihurumia acha kuwapa nafasi watu wakuhurumie wakati hata hawajui nini faida utakayoipat```
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiZIJUE SABABU ZINAZOKUFANYA USHINDWE KUANZA WAZO LAKO...
Usiku mwangavu ulikuwa unaingia. Katika hotel moja kulikuwa na maongezi ya vijana watatu wenye ndoto kubwa na walikuwa na mawazo mazuri sana. Lakini shida kubwa ilikuwa ni namna gani ya kuweza kuifanya ndoto iwe halisi. Usiwe na usiku mrefu wa ndoto amka uanze kuitenda.
Katika kundi la watu 10 watu 9 kati yao wanaota ndoto. Ingewezekana kutekelezwa kwa kila ndoto na kila wazo dunia ingekuwa tofauti na jinsi ilivyo.
Hebu fikiri juu ya miradi mikubwa ambayo mpaka sasa ipo katika mawazo, vitabu ambavyo mpaka sasa havijawekwa katika kurasa, ule ujumbe mzuri ambao mpaka sasa haujahubiriwa, na kiongozi mzuri ambaye mpaka sasa hajaweza kusimama katika nafasi yake....yote haya ni mawazo. Utajiri uliopo katika ndoto na mawazo ni mkubwa kuliko hazina zote katika migodi, bahari na maliasili zote...
Lakini kwa nini watu hawachukui hatua ya kuanza??
Zipo sababu kadhaa nitazijadili kwa kifupi ili uweze kupatwa mwanga na ikiwezekana uthubutu kuanza..
1. Hofu. Kwa kawaida watu wanahofu kwa mambo yanayofikirika tu, mambo ambayo siyo kweli. Kwa mfano watu huogopa giza kwa kuhofia kitu ambacho hawakijui lakini hujiumba na kuwa kweli mawazoni mwao wenyewe.
2. Kutokueleweka. Uwezo na ubora wa wazo unatofautiana. Kwa mfano mtu aliyejizoeza kutekeleza mawazo yake uwezo wa kuchuja na kupembua mawazo yake ni bora zaidi. Wazo linapokua na maana zaidi ya moja akili haitaweza kulitekeleza kirahisi ni lazima kutakuwa na mvutano.
3. Incompatibility. Hii ni aina ya mawazo ambayo hayawezi kuchukuliana na hali au na kazi yako ya sasa. Kwa mfano mimi ni mwajiriwa na ninataka kufanya kitu kitakacho hitaji niache kazi yangu ya sasa. Kuanza kutekeleza wazo la aina hii ni vigumu. Inawezekana lakini itahitajika nguvu kubwa kutokea nje.
4. Urahisi wa kutekeleza. Hujaelewa bado kama hauwezi kurahisisha. Siri kubwa ya majiniasi ni kufanya mambo magumu yawe rahisi na yanayotekelezeka. Wazo kuwa gumu na kubwa mno linafanya akili iwe na kusitasita kutekeleza.
Kwa sababu hii ikiwa unataka kuchukua wazo la aina yoyote ile jifunze kuliumba wazo katika namna rahisi ambayo unaweza kuiandika na kuichora. Na usahihi wa mawazo huonekana pale unapomshirikisha mwingine na akaweza kulielewa kirahisi tu. Ni mhimu kuwa na watu mhimu ambao wanaweza kukushauri ili uweze kupima mawazo yako. Kumbuka katika mashauri ya wengi mipango hutimia. Na mpango ni wazo lililowekwa katika maandishi.
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiMUNGU HAKUUMBA MASIKINI, KWA NINI WEWE MASIKINI?
Mungu alipomuumba binadamu, hakusema kwamba anamuumba akiwa tofauti na mwingine. Leo, unaponiona mimi, nina moyo mmoja, nina figo, ini, kichwa, macho kama wewe.
Sikuzaliwa nikiwa na magari, sikuzaliwa nikiwa na fedha, nilizaliwa kwenye familia masikini sana, inawezekana ilikuwa masikini hata zaidi ya familia yako.
Baba yangu akanifundisha kuhusu biashara na kila siku akaniambia kwamba kama nitakuwa mfanyabiashara mkubwa, basi natakiwa niwe na nidhamu ya fedha.
Ni mara ngapi umekuwa ukipokea fedha na kuzitumia katika vitu visivyo na maana? Ni mara ngapi umepokea fedha na kusema kwamba kiasi hicho ni kidogo na hakiwezi kukufanya kuwa milionea?
Ndugu zangu! Hakuna bilionea aliyeanza kuwa bilionea kwa kupewa mamilioni ya shilingi. Wapo mabilionea waliopewa laki moja na mwisho kuwa mabilionea.
Wengine walikuwa mafundi wa viatu, mwisho wa siku ni mabilionea wakubwa. Tangu lini fundi viatu akawa na kiasi cha shilingi milioni moja kuanzia maisha? Ni lazima atakuwa na shilingi elfu hamsini, hizohizo akajichanganya, akazipanga na mwisho wa siku akawa bilionea.
Wewe unapata milioni moja, bado unasema ndogo, unapata elfu hamsini, bado unasema ndogo. Ndugu yangu, Mungu anapotaka kukufanya bilionea, hakupi milioni mia moja moja, anakupa kiasi cha chini ili utakapokuwa bilionea uwe na ushuhuda wa kutosha.
Mungu anataka utakaposimama useme kwamba ulikuwa na elfu thelathini, ikabadilisha maisha yako na mwisho wa siku kuwa bilionea. Mungu hakupi milioni mia moja ghafla kwa kuamini kwamba ukipata hiyo, utawaambia watu kuwa ulipata milioni mia moja na baadaye ukawa bilionea.
Ni kiasi kikubwa sana, utawavunja moyo watu wengine kukipata, lakini ukisema kupitia shilingi elfu kumi nikawa bilionea, ni kiasi kidogo sana ambacho mtu anaweza kupambana na kukipata kisha kubadilisha maisha yake.
Ndugu yangu, kumbuka kwamba nilikuja Dar nikiwa sina kitu. Sikuwa na fedha ya kutosha mfukoni, sikuwa na sehemu ya kulala, hakukuwa na mtu aliyenifahamu, nililala kwenye kituo cha mabasi ya mkoa kipindi hicho pale Kisutu, lakini pamoja na hayo yote, bado maneno ya baba yangu kunitaka niwe mfanyabiashara mkubwa yalinirudia kichwani mwangu.
Maneno hayo yakaniongoza, nikawa naamini kwamba kuna siku nitakuwa mfanyabiashara mkubwa. Sijisifii bali ninataka ubadilishe maisha yako kupitia maisha yangu, wewe uliyekata tamaa, ujue kwamba kama ukipanga mikakati yako basi utafanikiwa.
Najua unaweza kuchukua hatua, kuna watu watakwambia, utawezaje? Mbona baba yako alishindwa? Mbona mama yako naye alishindwa? Kuna ndugu yako anajiweza kifedha? Mtu akikwambia hivyo au hata ukiisikia sauti inakwambia hivyo, wajibu kwa kuwaambia, baba yangu hakuweza, mama hakuweza, ila rafiki yangu Shigongo aliweza! Kama yeye aliweza, kwa nini mimi nishindwe?
Kama mtu wa elimu ya darasa la saba aliweza, kwa nini mimi na elimu yangu nishindwe? Kwa nini yule mtoto wa masikini kuliko wazazi wangu aliweza halafu mimi nishindwe?
Huwezi kushindwa rafiki yangu. Nakuambia tena kwamba HUWEZI KUSHINDWA. Unachotakiwa kufanya ni kuamini kisha anza kufanya huku ukimtanguliza Mungu mbele.
Mungu hana ndoto za wewe uwe masikini. Mungu hapendi umasikini, anachotaka na wewe uendeshe magari, uwe na nyumba zako, hoteli kubwa, ila kinachokufanya kuwa masikini ni kutokujiamini kwako. Unahisi kushindwa hata kabla hujaanza safari.
Utakapoanza, wapo watakaokukatisha moyo, usiwasikilize, wewe songa mbele. Kwenye safari ya mafanikio, tuna maadui wengi mno kuliko marafiki. Labda rafiki unayempenda, unayemuona yupo bega kwa bega nawe leo ndiye huyohuyo atakayetaka kuona hupigi hatua baadaye.
Ndugu yangu! Umeumbwa kwa mfano wa Mungu! Unalijua hilo? Kabla ya wewe kuumbwa, Mungu alikutana na malaika na kusema tuumbe mtu kwa mfano wetu. Wewe ni mfano wa Mungu na ndiyo maana unaona, unasikia, unaumia na kufurahi.
Huwezi kushindwa hata mara moja. Inuka ulipo, simama na piga hatua na ninaamini utafika unapotakiwa kufika.
MUNGU AKUONGOZE. TUKUTANE JUMAMOSI KWA MAKALA NYINGINE YA KUKUTOA HAPO ULIPO. USIKOSE KUSHARE ILI MARAFIKI ZAKO NAO WAJIFUNZE. KAMA NILIVYOJITOA KUKUFUNDISHA BURE, JITOE KWA KUWASHIRIKISHA WENGINE UJUMBE HUU KWA KUSHARE. ASANTENI.
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiHOW TO MAKE MONEY (The Jewish Strategy) KANUNI ZA MUNGU ZILIZOHAKIKIWA
Umeumbiwa uwezo wa kitajiri na kumiliki ndani yako na ni haki yako MUNGU alikuwekea *HAUNA SABABU YA KUWA MASKINI*
Usitegemee akili na Nguvu zako mwenyewe ,Jifunze kuwa anayejua matumizi ya Chungu ni Mfinyazi, *MUULIZE MUNGU KIVIPI(HOW) na usimuulize KWA NINI(WHY)*
UMASKINI una nguvu ya kudhoofisha IMANI yako.
na DAIMA umiliki Amali,utajiri unauwezo wa KUIMARISHA IMANI YAKO *(UTAJIRI ULIOJENGWA. KTK MISINGI YA MUNGU*
Daima shika kanuni hii
*KAZI/JUHUDI ➕ HEKIMA(GOD)=UKWASI/UTAJIRI/USTAWI/MAFANIKIO*
Kumb 8.17-18
JE,Kanuni hizo na MBINU HIZO 6 ZA KUTENGENEZA PESA ZIKOJE ???
WAJIBU,mipango,uwajibikaji,matumizi sahihi na Usimamizi thabiti wa MALI(Fedha,Muda,na amali zingine)
*Stewardship* FUNGU 10% la kila kipato unaingiza na toa kwa Uaminifu,Adabu,hekima,na MADHABAHU SAHIHI,nielewe namaanisha Madhabahu sahihi(Si sababu mchungaji wako kasema BALI unaskia ndani yako *Tithes* SADAKA,iwe takatifu,si chenji ,umeomba kwa duka,sadaka inaandaliwa wiki nzima,ukinia ndani yako siku fulani Nitakupea Mungu kitu hii,Na ndo Mlango wa fedha zote na uzima na afya yako
*Offering* KUWEKA AKIBA Mith6:6-7 Hata mchwa huweka akiba wewe inakuwaje ,unavunja kanuni kazi kutumia tu pesa ,weka akiba ni kanuni za Mungu tena uelewe,weka sasa *Saving* WEKEZA,Angalia umri wako,na maisha unaishi,uko busy na ndoto za watu wengine wakati zako hujatekeleza kumbuka na weka akilini (HUKUJA WALA KUUMBWA KULIPA BILLS NA KUKUFA,ulikuja utimize kusudi ,uifanyie kitu dunia,uifanye dunia mahali pa watu kufurahi
*KANUNI YA MUNGU WALAU UWE NA VYANZO 6 VYA KIPATO,somo litakujia karibuni, *Investment* SASA TUMIA FEDHA,PANGA matumizi yako,andika kila unachotumia,weka kumbukumbu sahihi,na kuwa na nidhamu katika matumizi yako,wasiliana na kila pande zinakuzunguka ili wasishangae kanuni zako za fedha,epuka michango isiyo na baraka wala ulazima kama HARUSI,SHEREHE,
changia michango yenye matokeo chanya na baraka kama MISIBA,WAGONJWA,WAHITAJI,MASKI
NI,na wale unaskia KUGUSWA NDANI YAKO *Spending.*
Kanuni hizo kwa ufupi
1.stewardship
2. Tithes
3.Offering
4.Savings
5.Investment
6.Spending
AKUPENDAYE UFANIKIWE DAIMA
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiINAWEZEKANAJE MTU KUPATA MILIONI 890 NDANI YA MIAKA MITANO?(1) Unapotaja milioni 890, kila mmoja ataitazama kwa namna yake. Kwa mwingine ni pesa nyingi kupindukia, kwa mwingine ni pesa ya kawaida lakini kwa mwingine ni
http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js
pesa ndogo sana. Nafahamu kwamba mazoea, mazingira na uzoefu ndivyo vinapelekea watu kufikiri kwamba milioni 890 ni kiwango kikubwa mno. Kwa mtu anaelipwa mshahara wa milioni moja(1,000,000/=) kila mwezi, itamchukua miaka takribani sabini na nne(74) kupata milioni 890 kupitia mshahara! Yaani Tsh. 1M*12(miezi ya mwaka mmoja) *74(miaka)= Tsh. 890M. Kwa mfanyakazi anaelipwa shilingi laki tano itamchukua miaka mia moja na arobaini na nane ili kupata milioni 890! Yaani 0.5M*12*148=Tsh. 890! Hata mtu anaelipwa mshahara wa milioni tano kwa mwezi itamchukua miaka 15 kufikisha milioni 890. Yaani Tsh. 5M*12*15= Tsh. 890M Pia nafahamu kwamba unapotaja mshahara wa milioni moja kwa mwezi, ndio mishahara ya watu ambao kwa wastani wanaonekana kuwa na kazi nzuri! Unapotaja watu wanaolipwa milioni tano kwa mwezi, hao wanahesabika kuwa kama wateule na kimsingi katika nchi kama Tanzania wapo wachache sana. Mishahara mingi ya wafanyakazi inacheza chini ya milioni mbili. Vile vile nafahamu kuwa viinua mgongo vya wafanyakazi wengi huwa havizidi milioni mia moja(100,000,000/=) Ikiwa hata wanaolipwa milioni tano kwa mwezi bado hawawezi kuzichanga milioni 890 ndani ya miaka mitano:- inakuwaje hawa BU waje na dhana ya mtu kupata milioni 890 ndani ya miaka mitano? Wanautoa wapi ujasiri huu? Cha kustaajabisha ni kwamba inasemwa kwamba hili linawezekana kwa mtu yeyote iwe ana kipato ama hana, iwe ana mshahara mdogo ama mkubwa! Haya ni maswali na mshangao ambao watu wengi wanaposikia milioni 890 kwa miaka mitano wamekuwa wakituuliza na kushangaa! Wengine huwa hawajichoshi hata kuuliza bali huishia kusema, "Haiwezekani"! Kabla sijakupigia hesabu za mambo kadhaa unayoweza kufanya na kukamata milioni 890 ndani ya miaka mitano:- nataka nikuoneshe namna milioni 890 inavyofanana. Je, Tsh. Milioni 890 ni kiwango kikubwa sana? Hivi unadhani kiwango hiki cha milioni 890 ni kubwa basi? Wala hataaaa! Hiki ni kiwango kinachokamatika kwa urahisi kabisa. Unajua nini? Ukitaka kujua kwamba hiki kiwango si chochote wala si lolote tazama milioni mia nane tisini inafananaje:- Ukichukua milioni 890 ukaenda kununua malori yale ya Howo (roli na tela lake) ama ukanunua Scania Used(na tela zake) utapata malori sita tu (kwa makadirio ya bei ya Tsh Milioni 120-150 kila moja). Sasa hebu niambie, wewe ukiwa na Malori sita mjini kwani ni utajiri wa kusema utatikisa mji? Walaa hata! Si unaona milioni 890 zilivyo za kawaida enhee? Sasa, achana na malori maana huenda unayagwaya sana "masemi-trela":- Chukua milioni 890 nenda kajenge nyumba za maana (kiasi flani) maeneo ya Njiro pale Arusha, ama maeneo ya Mbezi pale Dar es Salaam ama maeneo ya Kapri Pointi pale Mwanza ama maeneo ya ForestMpya pale Mbeya ama maeneo ya Gangilonga kule Iringa. Hizo hela kama ukianzia kununua viwanja na kujenga katika maeneo hayo huwezi kukamilisha majengo ya maana zaidi ya “mawili”. Tena kama pale Njiro Arusha hata "mjengo" mmoja unaweza usiishe, maana kiwanja peke yake utasikia milioni mia mbili! Sasa tufanye kote huko umefanikiwa kupata "mijengo yako miwili", paaapu, umetulia! Nikuulize swali:- hivi kumiliki nyumba mbili(ama iite mijengo miwili) ni kitu kinachoweza kukufanya utikise mjini? Ahaa, sitaki kukulinganisha, lakini ujue watu wana nyumba hadi ishirini na bado hela(ama thamani yao) sio ya kutisha, yaani, vijana tunasema, kawaida sana! Mwingine bado ataniambia, “Ohoo, Spika, unajua milioni 890 ni hela nyingi sana” Usipate taabu, ngoja nikuoneshe milioni 890 inavyofanana kwa upande mwingine. Unajua ukichukua milioni 890 ukaenda kununua magari aina ya LandCruiser V8, Unapata magari mawili pekee na chenji inayorudi inaweza isitoshe hata kununua kiwanja cha ekari moja pale Bunju Dar es Salaam? Hivi mtu akiwa na magari mawili (tu V8 tuwili) utasema ni utajri wa kuutetemekea? Kwanza magari mawili yanatosha wewe na mume wako hata watoto wanakuwa bado hawajapata usafiri! Kuwa siriazi bana, acha masikhara na maisha, atiii! Milioni 890 ni kitu gani hadi kinakufanya unapoisikia unakuwa mdogo kama piritoni, usiniangushe bana! Usitishike na milioni 890 kwa sababu ikianza kujenga hospitali ndogo tu ya kawaida inaweza ikaishia njiani hata isifanikiwe kumalizia chumba cha mochwari! Nikwambie kitu? Tunaposema milioni 890 ujue ni “hela za kawaida sana" na wala usitishike wala kuogopa. Achana na wale ambao hawajaelewa wala kusikia "udogo wa milioni 890 kwa yale inayoweza kuyafanya":- , wewe tulia hapa, uone tunavyosaidiana maarifa na msaada wa kuicheza hii ngoma ya "umilionea". Unajua ni nini tena? Ndio maana tumesema kwamba milioni 890 ni kianzio, ama twasema kima cha chini kabisa. Tafsiri yake ni kwamba mbingu ndio ukomo wako, waweza kamata bilioni, bilioni kumi n.k Ni wewe tu, lakini hii kiwango nakuthibitishia kinawezekana tena kiurahisi sana kuliko ulivyodhani! Acha kuwafuatilia hao wa “jero-jero”, kaa hapa na sisi wenzio tunaowaza “kimilioni-milioni” Ngoja niliseme na hili pia:- Hivi unajua kwamba ukiwa na shilingi elfu moja ni rahisi sana kuikamata elfu kumi? Najua unajua! Hivi unafahamu kwamba ukiwa na elfu kumi inakuwa simpo kuiwazia laki moja, tofauti na mtu mwenye elfu moja kuiwazia laki moja? Hata kama ulikuwa hufahamu ndio nishakufahamisha hivyo. Na unajua kuwa kama laki zinapita-pita mikononi inakuwa fasta kukamata milioni, si ndio enhee? Basi sasa ni rahisi kujua kwamba milioni mia moja inafikika kirahisi kwa kuanza na milioni kumi iliyotoka kwenye milioni moja, iliyozalishwa kutoka laki moja, mdogo wake wa elfu kumi na mjukuu wa elfu moja! Unajua ninachotaka kukueleza? Ni hiki:- maadamu umepata fursa ya kuonja mafundisho na mikakati ya BU ili kuisaka milioni 890, upo sahihi sana bila kujali utaanza na kiasi gani! Chochote ulichonacho kinatosha kuanza nacho na hatimaye kufikia ndoto ya milioni 890 ndani ya miaka mitano. Usikonde wala kuogopa hata kidogo, maana tutakupa njia za kupita! Unajua ni nini tena? Iko hivi, kadiri unavyopanda juu kifedha(ama kadiri fedha zinavyoongezeka) ndivyo mwendokasi(spidi) wa hela kukujia unavyoongezeka. Andika kwenye daftari hii pointi:- muda utakaotumia kupata elfu kumi kutokana na elfu moja uliyoanza nayo utakuwa ni mkubwa kuliko muda utakaotumia kupata laki moja kutoka kwenye elfu kumi utakayoizalisha. Nakuongezea pointi hii:- muda utakaotumia kupata milioni 100 kutoka kwenye milioni kumi uliyofikia utakuwa ni mfupi zaidi ukilinganisha na muda ulioutumia kuzalisha milioni kumi kutoka kwenye milioni moja. Si umeshajua kitakachotokea kuhusu milioni 890 utakaposhika milioni mia moja, enhee!? Maana yake ni nini? Ni kwamba unaweza kuifikia milioni 890 ndani ya muda mfupi sana kutegemea unatumiache kile ulichonacho sasa hata kama ni kidogo namna gani. Kazi yetu ni kukuonesha thamani na namna ya kutumia ulichonacho ili ufike nchi ya milioni 890 tunayokueleza habari zake. Sehemu ya pili nitakuja kukuonesha ulimwengu wa milioni 890, na kukupa mahesabu kadhaa ya fursa yanayokuonesha namna kadha wa kadha za kufikia uhuru wa kiuchumi ama uite umilionea wa kiwango cha milioni 890
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiTuesday, 07 June 2016 22:01 NAFASI ZA KAZI TANZANIA MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES MWISHO TAREHE 20 JUNE 2016 font size Print Email 1.Muhimbili University of Health and Allied Sciences is inviting applications from suitably qualified
http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js
Tanzanians to be considered for employment to fill the following vacant posts:- Health Laboratory Scientific Officer Grade I – 2 Posts Required Qualification Holder of Bachelor degree/Advanced Diploma in Medical Laboratory Sciences or Advanced Diploma from a recognized Institution. Must have been acquired registration as a Graduate Health Laboratory Scientific Officer by competent relevant board/authority Experience: Three (3) years working experience in similar post Duties and Responsibilities Organizes practical for undergraduate students. Participates in consultancy projects under close supervision of senior staff. Assists in consultancy, research and development in health field. Assists Academic staff in their research and development activities. Plans and supervises maintenance of laboratory/ workshop equipments and facilities. Prepares manuscripts, laboratory practical and other relevant needs. Instructs undergraduate and postgraduate students during practical. Develops and modifies student’s experiments and experimental rigns in consultation with academic members of staff. Supervises and orients Technicians and Artisans in their duties. Conducts on the job training for Technicians. Guides technicians in their daily activities Performs any other related duties as may be assigned by one’s reporting officer. GENERAL CONDITIONS FOR ALL POSTS: i) Applicants must attach an up to date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, email address and telephone numbers. ii) Applicants should apply on the strengths of the information given in this advertisement. iii) The title of the position applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope. iv) Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates/transcripts as follows: ü Postgraduate Degree/First Degree/Advanced Diploma, Diploma/Certificates. ü Form IV and Form VI National Examination Certificates. ü Computer Certificates where applicable. ü Professional Certificates from respective boards where applicable. ü One recent passport size picture and copy of birth certificate. v) Form IV and Form VI result slips are strictly not accepted. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action. vi) Applicants currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers. vii) Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts. viii) Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU) or National Acreditation Council for Technical Education (NACTE) for foreign non degree certificates ix) Women are highly encouraged to apply. x) Only shortlisted candidates will be informed the date for interview. xi) APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED OR HAND DELIVERED TO THE FOLLOWING ADDRESS on or before 4.00 p.m on 20th June, 2016 (i.e. Deadline for receiving applications) THE DEPUTY VICE CHANCELLOR, PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION, MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES – MUHAS, P.O. BOX 65001, DAR ES SALAAM. 2.Muhimbili University of Health and Allied Sciences is inviting applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill the following vacant posts:- Legal Officer Grade II – 1 Post Required Qualification Holder of LLB degree plus one (1) year intern-ship/law school Duties and Responsibilities Index, file, register Government notice and all other legal documents and ensure their safe custody. Compile evidence relevant for court cases involving the University. Attend to registration of all legal documents and probate matters. Take charge of documents and correspondences of already assigned cases. Deal with all legal routine correspondences addressed to the University Drafts prescribed legal documents, forms and contract. Follow up on documents and proceedings in courts. Present the University in legal actions and Court cases Prepare legal briefs and provide legal advice. Liaise with retained external legal agencies. Prepare drafts amendments to the University Charter and its regulations made there under. Scrutinize and effect registration of leases and transfer of properties in liaison with Estate Manager and participate in negotiations for writing up contract pertaining to such leases and transfer of properties. Perform any other duties assigned by one’s reporting officer GENERAL CONDITIONS FOR ALL POSTS: i) Applicants must attach an up to date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, email address and telephone numbers. ii) Applicants should apply on the strengths of the information given in this advertisement. iii) The title of the position applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope. iv) Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates/transcripts as follows: ü Postgraduate Degree/First Degree/Advanced Diploma, Diploma/Certificates. ü Form IV and Form VI National Examination Certificates. ü Computer Certificates where applicable. ü Professional Certificates from respective boards where applicable. ü One recent passport size picture and copy of birth certificate. v) Form IV and Form VI result slips are strictly not accepted. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action. vi) Applicants currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers. vii) Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts. viii) Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU) or National Acreditation Council for Technical Education (NACTE) for foreign non degree certificates ix) Women are highly encouraged to apply. x) Only shortlisted candidates will be informed the date for interview. xi) APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED OR HAND DELIVERED TO THE FOLLOWING ADDRESS on or before 4.00 p.m on 20th June, 2016 (i.e. Deadline for receiving applications) THE DEPUTY VICE CHANCELLOR, PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION, MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES – MUHAS, P.O. BOX 65001, DAR ES SALAAM. 3.Muhimbili University of Health and Allied Sciences is inviting applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill the following vacant posts:- Telephone Operator II – 1 Post Required Qualifications Holder of certificate of Secondary Education with credit passes in English, Kiswahili and Geography or form six who has principal pass in English and has attained certificate in telephone maintainance or equivalent qualification from VETA or any other recognized Institution. Duties and Responsibilities. Make repair of Telephone Receivers both for Extensions and Direct lines for the entire University. Make repair of the Telephone cables across the University. Rectify telephone faulties on daily basis that are reported by staff. Connect new extensions and direct lines to telephone users. Fix telephone receivers and cables at various places. Assists the Telephone Supervisor in preparing the University Telephone Directory. Arranges telephone repairs/ servicing Performs any other duties as may be assigned to from time to time by one’s reporting officer. GENERAL CONDITIONS FOR ALL POSTS: i) Applicants must attach an up to date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, email address and telephone numbers. ii) Applicants should apply on the strengths of the information given in this advertisement. iii) The title of the position applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope. iv) Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates/transcripts as follows: ü Postgraduate Degree/First Degree/Advanced Diploma, Diploma/Certificates. ü Form IV and Form VI National Examination Certificates. ü Computer Certificates where applicable. ü Professional Certificates from respective boards where applicable. ü One recent passport size picture and copy of birth certificate. v) Form IV and Form VI result slips are strictly not accepted. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action. vi) Applicants currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers. vii) Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts. viii) Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU) or National Acreditation Council for Technical Education (NACTE) for foreign non degree certificates ix) Women are highly encouraged to apply. x) Only shortlisted candidates will be informed the date for interview. xi) APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED OR HAND DELIVERED TO THE FOLLOWING ADDRESS on or before 4.00 p.m on 20th June, 2016 (i.e. Deadline for receiving applications) THE DEPUTY VICE CHANCELLOR, PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION, MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES – MUHAS, P.O. BOX 65001, DAR ES SALAAM. 4.Muhimbili University of Health and Allied Sciences is inviting applications from suitably qualified Tanzanians to be considered for employment to fill the following vacant posts:- Driver II – 2 Posts Required Qualification Holder of Form IV Certificate with passes in Kiswahili and English plus a clean valid Driving License at appropriate class and working experience of at least three (3) yearsin a similar position and must also possess Trade Test Grade II in Motor Vehicle Mechanics and Driving Certificate Grade II from a recognized Institution such as NIT or VETA. Duties and Responsibility Drives pool University vehicles safely. Maintains logbooks. Ensuresafety of passenger (s) during driving Ensures safe-keeping of the vehicle and its tools Maintains disciplined behaviour, smartness and proper conduct in rendering services. Maintains cleanliness of the vehicle and tools Reports promptly any defects or problems detected in the vehicle. Undertakes minor repairs when necessary. Performs messengerial duties such as dispatching documents/letters and collecting mail. Checks validity of insurance, TLB, Plying fees etc and reports the same to the Transport Officer for necessary action. Performs any other related duties as may be assigned by one’s reporting officer. GENERAL CONDITIONS FOR ALL POSTS: i) Applicants must attach an up to date current Curriculum Vitae (CV) having reliable contact postal address, email address and telephone numbers. ii) Applicants should apply on the strengths of the information given in this advertisement. iii) The title of the position applied for should be written in the subject of the application letter and marked on the envelope. iv) Applicants must attach their detailed relevant certified copies of Academic certificates/transcripts as follows: ü Postgraduate Degree/First Degree/Advanced Diploma, Diploma/Certificates. ü Form IV and Form VI National Examination Certificates. ü Computer Certificates where applicable. ü Professional Certificates from respective boards where applicable. ü One recent passport size picture and copy of birth certificate. v) Form IV and Form VI result slips are strictly not accepted. Presentation of forged academic certificates and other information in the CV will necessitate to legal action. vi) Applicants currently employed in the public service should route their application letters through their respective employers. vii) Applicants should indicate three reputable referees with their reliable contacts. viii) Certificates from foreign Universities should be verified by Tanzania Commission for Universities (TCU) or National Acreditation Council for Technical Education (NACTE) for foreign non degree certificates ix) Women are highly encouraged to apply. x) Only shortlisted candidates will be informed the date for interview. xi) APPLICATION LETTERS SHOULD BE POSTED OR HAND DELIVERED TO THE FOLLOWING ADDRESS on or before 4.00 p.m on 20th June, 2016 (i.e. Deadline for receiving applications) THE DEPUTY VICE CHANCELLOR, PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION, MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES – MUHAS, P.O. BOX 65001, DAR ES SALAAM.
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiHOFU NI BANDA BOVU!!!!! Sababu kubwa ya watu wengi ikiwa ni pamoja na wewe kutotimiza malengo yako ni HOFU
http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js
. HOFU ni kitu kimoja kibaya sana katika safari ya mafanikio yako. Kila mmoja anatamani na anatafuta mafanikio ila tatizo mioyo yetu imejaa HOFU. Hofu ndio kikwazo cha mafanikio na maendeleo yetu ktk maisha.Kila mtu ana hofu msomi mwenye elimu na ujuzi ana Hofu na asiye na elimu naye pia ana Hofu tena Mara mbili ya mwenye elimu na maarifa. Tajiri nae ana Hofu juu ya usalama wake na Mali zake. Maskini ndio usiseme ana hofu zaidi maana hata kesho yake haijui itakuwaje na itafikaje. Kifupi ni kuwa kila mtu kwa namna yeyote ile ana Hofu. Kisaikolojia kuna aina kuu mbili za Hofu bila kujali ni kundi gani la watu maskini au tajiri.Hofu ya kwanza ni HOFU YA KUSHINDA na HOFU ya Pili ni HOFU YA KUSHINDWA. Hizi ndizo Hofu kuu mbili zinazotuzuia sisi binadamu kutimiza malengo yetu ktk kufikia na kutimiza ndoto zetu ktk maisha.Haijalishi ni Hofu gani unayo ila una Hofu hapo ulipo hata ukinikatalia Mim ila ukijichunguza utakubaliana nami kuwa una Hofu. By the way siku kutaka kujua una Hofu ya nini lengo langu ni kukuelimisha kuwa Hofu ndio kikwazo ktk kupata kile unataka ktk kutimiza ndoto zako za Mafanikio. Hofu ya kushindwa ndio mbaya zaidi kuliko Hofu ya kushinda kwani Hofu ya kushindwa kuua moyo na kukatisha tamaa ya kutojaribu hata kufanya jambo. Ila Hofu ya kushinda inaweza kumpa moyo wa kufanya jambo japo si kwa kiwango kikubwa cha kufikia mafanikio ayatakayo.Zipo njia mbalimbali kama 30 za kukabiliana na Hofu hapa ktk makala yangu naomba nikupe 3 tu zingine tutaendelea kupeana ktk makala zijazo. Mbinu au siri za kukabiliana na Hofu hizi mbili. 1.Jiamini - ktk maisha yako unapaswa kujiamini na kuwa mwaminifu ktk kauli na vitendo vyako. Utaepukana na uwongo na udanganyifu utakao kusababishia uishi kwa Hofu ya kugundulika uwongo wako. 2.Tafuta Maarifa- Soma na uwe na elimu nzuri itakayoweza kukuongoza ktk kufanya mambo kwa usahihi na kwa ueledi MKUBWA.kukosa maarifa na elimu ni mwanzo wa kuwa na Hofu kwa sababu utafanya vitu ambavyo huna uhakika navyo. 3.Kuwa mdadisi-Kamwe ktk maisha yako usiamini kila unachoambiwa na kukiamini 100% kuwa ni kweli na ndivyo ilivyo jitahidi kutafakari na kuchunguza kwanza je ni kweli inawezekana? Kwa nini iwe hivyo? Usimuamini kila mtu Mara nyingi HABARI yeyote ya kuambiwa INA uwongo 99% kwa sababu msemaji ni lazima atatia chumvi kwa maana ya kupunguza au kuongeza baadhi ya Maneno yasiyokuwepo. Ndipo pale Mimi Frank Luoga huwa napenda kusema AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YAKO KUPATA UKWELI WAKE. Mafanikio yanahitaji Moyo usiyo na Hofu/mashaka na wasiwasi. Vitabu vitakatifu vinatuasa kuwa "JAMBO LOLOTE UKIWA NA HOFU, MASHAKA AU WASIWASI NALO USILIFANYE KWA MAANA HUTALIFANYA KIKAMILIFU" Hii ni kutuonyesha namna gani Hofu ni mbaya na inaathari ktk kufanikisha mambo yetu katika maisha.Kuna kauli huwa napenda kuwaambia na kuwashauri wachumba wanaotaraji kuoana kuwa kamwe usikubali kuolewa au kuoa mtu ambaye bado una mashaka nae ndoa yenu itakuwa na mashaka mashaka kamwe hamtoaminiana ndani ya ndoa yenu. Kila siku hakutisha migogoro na visa. Vivyo hivyo ktk mafanikio ukifanya jambo lililo na mashaka nalo lazima lifeli.Kila mtu anayo haki na wajibu ktk kupambana na Hofu ili afanikiwe ktk maisha yake. CHUKUA HATUA LEO IDHIBITI HOFU UPATE NJIA SAHIHI YA KUFIKIA MAFANIKIO YAKO NA KUTIMIZA NDOTO ZAKO.
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiACHA KUFANYA MAMBO HAYA NA UTAFANIKIWA 100% (MSAIDIE MWENZAKO KWA KUSHARE/ RETWEET HII POST) 1. ACHA KUWA NA MARAFIKI WANOKUPOTEZEA MUDA Watu wengi tumekuwa na marafiki wengi sana na marafiki ni mhimu sana katika maisha yetu haya wapo wanaotufaa na wasiotufaa kuwa na marafiki wanao weza kukusaidia na kukupa hamasa ya kimaendeleo ,malengo yako na kuwa na maisha Fulani. Hivyo achana na marafiki wasio kuwa na msaada kwako. 2. ACHA KUKIMBIA MATATIZO YAKO Waswahili wanasema kuwa “kukimbia tatizo si kutatua tatizo” Hivyo basi kama tatizo umekutananalo basi tafuta njia ya kulitatua tatizo hilo kwani matatizo hayaji kuisha katika dunia hii kama unakimbia utakimbia mangapi ? unatatizo la pesa kwanini usitafute pesa ila kama hufany
http://pagead2.googlesyndication.com/pagead/js/adsbygoogle.js
i kazi unategemea kupata pesa huwezi. Matatizo hayaepukiki komaa na ulitatue utajikuta kama uko peke yako katika hii dunia lakini kuna watu wana matatizo zaidi yako na wanahangaika kuyatatua. 3. ACHA KUJIDANGANYA MWENYEWE Katika maisha ya sasahivi unaweza kumdanya mtu yoyote yule lakini ogopa sana kujidanganya. Vijana wengi tumekuwa tukijivuna mbele za watu kuwa tuna hili mara lile ili mradi tu tuonekane ni watu wazuri kwa watu wanao tusikiliza. 4. ACHA KUIGA MAISHA YA WATU WENGINE Vijana wengi hili kwetu limekuwa janga kubwa sana maisha yetu yamekuwa yakuigiza sana (copy and paste) hasa hasa tunapenda kuonekana ni watu Fulani wenye maisha mazuri, hatuzijui shida ni watu wakula bata wakati si kweli. Maisha yetu yamekuwa magumu na yatakuwa magumu kwasababu ya kuiga maisha ya watu wengine ishi maisha harisi uliyonayo watu wakujua asili yako siyo kuigiza unaweza kosa kusaidiwa na watu. 5. ACHA KUKUMBUKA YALIYOPITA Hapa kuna mambo mengi tunajifunza wengi hukumbuka yaliyopita hasa waliyo shindwa kuyafanya au yaliyowaumiza kwa kukumbuka yaliyopita haiwezi kukusaidia kwani kila tuamkapo asubuhi ni kama tumezaliwa upya na siku ni nyingine,tarehe na mambo utakayoyafanya ni mengine si sawa na jana. Waswahili wanasema “Tusahau yaliyopita tugange yajayo” hii ina maana kuwa wewe si wa kipindi kile bali ni mwingine na akili ni mpya. 6. ACHA KUOGOPA KUFANYA MAKOSA Makosa ndiyo walimu wetu mkubwa sana katika maisha yetu na kila binadamu si mkamilifu toka uzaliwe mpaka sasa kuna makosa mengi uliyoyafanya na kupitia makosa hayo umejifunza kutorudia makosa tena na makosa hutujenga zaidi na kuwa makini zaidi kama ukifanya kosa huna haja ya kujilaum chukua muda kujilekebisha na kusonga mbele kosa lisiwe tatizo la kukukatisha tamaa. 7. ACHA KUNUNUA FURAHA Vitu vingi tunavyo vihitaji vinagharama kubwa sana na vitu hivyo si kwamba tuna vipenda bali ni tamaa tu tuliyonayo na hiyo yote ni kuamini kuwa furaha ya maisha tutaipata huko si kweli. Mungu alitupatia furaha, na upendo bure ni vitu unavyozaliwa navyo fikiria kama vingekuwa vinauzwa wangapi? Wangapi tungekuwa hatuna furaha. Hivyo basi anza kuyafurahia maisha yako hivyo vingine vitakufuata. 8. ACHA KUSHINDANA NA MTU KIMAISHA Acha kushindana na mtu kimaisha haitakusaidia huwezi jua yeye anafanya nini kuzipata pesa zake au mali zake na wewe unazipataje ushindani mzuri katika maisha ni ule wa kwako na mafanikio yako jiangalie kile unachokifanya na matokeo yake unapata nini? huo ndio ushindani mzuri kuliko wote sio kushindana na mtu kimaisha acha. 9. ACHA KUINGIA KWENYE MAHUSIANO YASIYO SAHIHI Katika mahusiano si kitu cha kujiingiza tu au kama unaoa si kuoa tu kwasabu Fulani kaoa basi na mimi nioe, si kudai kuwa nimechoka kufua ngoja nioe sasa ndiyo maana karne hii inaongoza kwa wanandoa kuachana na ndoa za utotoni kwasababu watu hawajipangi ni kuiga tu. Mahusiano au ndoa ni kitu kikubwa sana na kama umempenda mtu onyesha kuwa unampenda kweli mtangulize mbele yako kuwa ndiyo kila kitu kwako/ kila kitu kinaenda kwa ajiri yake. Kama unaingia katika mahusiano mheshimu mwenzako na kumpenda mpe nafasi kubwa katika maisha yako. 10. ACHA KUJILAUMU Kuacha kujilaumu ni njia mojawapo ya kufanikiwa katiaka maisha yako unapo kosea amini kuwa wewe si mkamilifu na hakuna binadamu aliyekamilika jipange songa mbele. Wagunduzi wa vifaa mbalimbali vinavyotumika kama vya umeme na vinginevyo si kwamba hawa kufanya makosa walikosea sana mpaka kutoa kitu sahihi . 11. ACHA KUONGELEA YAWATU FULANI Kuzungumzia maisha ya mtu Fulani haikusaidii ni kupoteza muda tu kwanini usiwaze maisha yako unatakiwa kufika wapi na ufanye nini kuishi maisha mazuri unakaa na kuanza kuzungumzia mtu Fulani yupo hivi mara hivi wakati huo huyo mtu unaemsema yeye yupo kazini we upo kijiweni mtalingana kweli? Acha kuzungumzia maisha ya watu fanya yako ufurahie maisha. WAKE UP.......... JUMAPILI NJEMA
Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiLife Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiLife Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiReading can become a serious but positive addiction once you indulge into it. Many studies and experiments have proved that books can have a huge impact on your mind. They cause biological changes; researchers have found that a powerful story can create ‘muscle memory’ in the brain in the same way as if the events and facts had actually happened to the reader. It is interesting that a good book is usually universal, it can affect people of all ages, social status, nationality etc.
Below you will find a list of 11 books that have changed lives of many bibliophiles; if you haven’t read them yet, do it now, because reading is one of the best pleasures of human being.
1.To Kill a Mockingbird, by Harper Lee
The book published in 1960 gained popularity and success immediately. It has won the Pulitzer Prize, and has become classic of modern American Literature. The story and characters are based on the author’s observations of her family and neighbors. She also tells about the story that happened to her near her hometown at the age of 10. The novel deserved popularity due to its warmth and humor, even though it touches the serious issues of rape and racial inequality. Atticus Finch, the narrator’s father, has become a moral hero for many readers and a model of integrity for lawyers. One of the critics, describing the novel’s impact says that To Kill a Mockingbird is probably one of the most widely read books about race-related problems in America, and its protagonist, Atticus Finch is the most enduring fictional image of racial heroism.”
The Trial, by Franz Kafka
The Trial is one of Kafka’s best-known works. It tells the story of a man who was arrested and prosecuted by a remote, inaccessible authority and the nature of his crime was revealed to neither him nor the reader. It is a very telling illustration of the nightmare that a powerless man can experience due to bureaucracy and injustice. Kafka’s novels, are mostly incomplete and so is the Trial, but it does include a chapter which brings the story to an end. There are some inconsistencies and discontinuities in narration within the novel, e.g. disparities in timing. Kafka is regarded by critics as one of the most influential authors of the 20th century. Kafka strongly influenced genres such as existentialism.
3.The Catcher in the Rye, by J.D. Salinger
The Catcher in the Rye, a 1951 novel by J. D. Salinger was originally written for adults, however, it has since gained popularity among adolescent readers for its themes of teenage angst and alienation. More than 250 000 copies are sold every year worldwide. The book is translated in almost all major languages. The novel’s protagonist, Holden Caulfield, has become an icon for teenage antagonism. The Times included the novel among 100 the best English-language novels written since 1923. Moreover, Modern Library and its readers named The Catcher in the Rye as one of the 100 best English-language novels of the 20th century. The novel deals with complex issues of identity, connection, belonging and alienation.
4.The Brothers Karamazov by Fyodor Dostoevsky
The Brothers Karamazov is Dostoevsky’s final novel. Dostoyevsky spent nearly two years writing The Brothers Karamazov. It is a passionate philosophical novel set in 19th century Russia. It enters deeply into the ethical debates of God, morality and free will. This spiritual drama conveys moral struggles concerning faith, doubt, and reason, facing a modernizing Russia. Dostoyevsky composed the novel in Staraya Russa which inspired the main setting. The Brothers Karamazov has been acclaimed as one of the supreme achievements in literature.
5.Hamlet, Prince of Denmark by William Shakespeare
Hamlet, Prince of Denmark, a tragedy by William Shakespeare takes place in the Kingdom of Denmark. It tells about Prince Hamlet’s revenge on his uncle Claudius for murdering his father King Hamlet (who is Claudius’s brother) and taking over the throne and marrying the old king’s widow and Prince Hamlet’s mother, Gertrude. The play vividly conveys true and feigned madness, overwhelming grief and seething rage and explores themes of revenge, incest, treachery and moral corruption. Being the Shakespeare’s longest play, Hamlet is regarded as the most powerful and influential tragedies in English literature. It is also the most performed worldwide. It has inspired writers like Goethe and Dickens and even Joyce and Murdoch. The tragedy of Hamlet is also the world’s most filmed story after Cinderella”.
6.Anna Karenina, by Leo Tolstoy
Anna Karenina, a poignant and heartbreaking novel is about intense passion and love as well as the repercussions of infidelity and jealousy. The book tells of the tragic love affair between the sensuous and rebellious Anna and attractive officer, Count Vronsky. The tragedy starts from the moment Anna rejects her passionless marriage and stands against the hypocrisies of society. The story takes place in the nineteenth-century Russia and plays out the contrasts of city and country life and all the variations on love and family happiness. This classic story of doomed love created by Leo Tolstoy is one of the most admired novels in world literature. Generations of readers have been fascinated by his magnificent and courageous heroine, the unhappily married Anna Karenina, and her tragic affair with Count Vronsky.
7.A Christmas Carol, by Charles Dickens
Christmas Carol is a novella by Charles Dickens, an English writer. It tells the story of a bitter old miser Ebenezer Scrooge, and about his transformation after supernatural visits by Jacob Marley and the Ghosts of Christmases from Past, Present and future. The book has made one of the greatest impacts in reviving the old Christmas traditions of England. It brings to the reader images of joy, warmth, light and life and at the same time it shows unforgettable images of despair, coldness, darkness, sadness and death. Scrooge is an embodiment of winter but his cold heart restores and becomes as innocent as in his childhood and youth, just like winter is followed by spring and summer.
8.The Little Prince, by Antoine de Saint-Exupéry
The Little Prince is a novella written by a French aristocrat, poet, writer and an aviator Antoine de Saint-Exupéry. It tells about curiosity, beauty, love, and loss, seen from innocent eyes of a little Prince who lives on a little planet and is in love with a rose. Little Prince is the most read and most translated book in the French language. It was ranked as the best book of the 20th century in France. The book is translated into more than 250 languages and dialects and Braille. Over a million copies are sold per year worldwide. It is one of the favorite books for children and the adults. “Goodbye,” said the fox. “And now here is my secret, a very simple secret: It is only with the heart that one can see rightly; what is essential is invisible to the eye.”
9.Hundred years of solitude, by Gabriel Garcia Marquez
One Hundred Years of Solitude tells the multi-generational story of the Buendia family whose patriarch José Arcadio Buendía establishes the town of Macondo. It is the story of the triumph and disaster, birth and death, joy and despair of Buendias and the mythical town of Macondo.
One hundred years of Solitude, with its inventive, magnetic, amusing, sad and alive pictures, unforgettable men and women, compassion, truth and soul-striking magic is a masterpiece in the art of fiction and a very important representative of Latin American literature of the 20th century.
10.Harry Potter by J.K.Rowling
Harry Potter is truly a book that has influenced young generations of the late 20th century. It is a series of seven fantasy novels created by the British author J. K. Rowling. It depicts a chronicle of the adventures of a wizard, Harry Potter, and his friends, students at Hogwarts School of Witchcraft and Wizardry. The main story is about Harry’s hunt for the Dark wizard Lord Voldemort. The latter intends to become immortal, invade the wizard world, subjugate non-magical people, and destroy all those who dare to stand in his way, especially Harry Potter. The book has gained immense popularity as well as criticism immediately after release. Also, it has brought a huge commercial success worldwide, the book series has sold more than 450 million copies becoming the best and fastest-selling book series in history. The series of Harry Potter include many genres, such as fantasy, mystery, thriller, romance and adventure but like the author says the main theme is death.
Entertainment - Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiHealth - Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hiiHealth - Life Style
Tafadhali Share na marafiki story hii- Job Vacancy > Motorcycle CourierLocation > Dar Es SalaamPosition Type > Full TimeOrganization Type >Company
A Growing Advertising Company




Recent Comments