Select Menu

Slider

Powered by Blogger.

Music

Health

Sports

News

Photos

Documentary

Video

*SABABU ZA MAGOJWA YA FIGO.                            JIHADHARI NA ONYEKA!.*
Raia wa Ghana wanazidi kufa kwa matokeo ya ugonjwa wa Figo.
*JINSI YA KUONDOKANA NA JANGA HATARI LA UGONJWA WA FIGO:*
*1.Usichelewe kwenda HAJA.*    Kutunza mkojo kweye kibofu chako  kwa muda mrefu ni wazo baya.                      Kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu.                     Mkojo ambao unakaa kwenye kibofu  huzidisha bakteria haraka.
Mara mkojo unaporudi nyuma ya njia na Figo, sumu dutu husababisha  maambukizi ya figo, pia njia ya mkojo na "nephritis", pamoja na "uremia". Wakati wito asili (unahisi mkojo) fanya hivyo haraka iwezekanavyo.
*2. Kula Chumvi kupita kiasi.* Inatupasa kula Chumvi isiyozidi 5.8 gramu kwa siku.
*3. Kula nyama kupita kiasi.*
Protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa Protini unazalisha amonia-  sumu dutu ambayo ina uharibifu mkubwa kwa figo zako. Nyama nyingi  inaleta uharibifu zaidi wa figo.
4. *Unywaji mwingi wa "Caffeins".*
Caffein hutokana na vinywaji vya Soda na vinywaji vingine laini kama Kahawa, Redblue n.k.                              Hupandisha shinikizo la damu na figo zako kuanza mateso. Unapaswa kupunguza kiwango  cha Coke, Pepsi, Red Bull, nk ambavyo hunywa kila siku.
*5. Kutokunywa maji.*
Figo zetu lazima zichakatwe vizuri kutekeleza majukumu yake vizuri.                           Endapo hatunywi ya kutosha, sumu dutu inaweza kuanza kukusanyika katika damu, kama hakuna kimiminika cha  kutosha kutoa kwa njia ya figo.                        *** Kunywa zaidi ya bilauri 10 za maji kila siku.
     Kuna njia rahisi ya kuangalia kama  unakunywa maji ya kutosha:                         Angalia rangi ya mkojo wako; Wepesi wa rangi, ndiyo vzuri.
*6. Kuchelewa matibabu.*
Tibu matatizo yako yote ya kiafya kwa uhakika na uwe unachunguza afya yako mara kwa mara.                            Wapendwa na wapenzi wangu, hebu tujisaidie wenyewe... Shirikisha wengine, kama unajali.               ----------------
*Pia epuka vidonge hivi, ni hatari sana:*
D- baridi*
Vicks Action- 500*
Actified*
Coldarin*
Cosome*
Nice*
Nimulid*
Cetrizet- D
Hivi vidonge vina Phenyl propanol- amide PPA ambayo husababisha stroke na ni marufuku Marekani.
MWISHO... Tafadhali, kabla ya kufuta, msaidie rafiki yako kwa kumpitishia hii..!
*Inaweza kumsaidia mtu!*
Wasambazie wengi kwa kadiri uwezavyo.
Shirikisha ujumbe huu kwa mpendwa wako.
*Maonyo muhimu ya Afya*
1. Jibu (pokea) simu wito na sikio  la kushoto.
2. Usinywe  dawa zako kwa maji baridi....
3. Usile milo mizito baada ya saa 11 jioni.
4. Kunywa maji vuguvugu mengi asubuhi na kiasi usiku. Usinywe maji baridi kamwe.
5. Muda bora wa kulala ni kutoka saa 4 usiku hadi saa 10 Alfajiri.
6. Usilale mapema baada ya kumeza dawa au baada ya mlo. Usiku, Kula chakula laini.
7. Usipokee simu yako ikiwa haina chaji. Wakati huo mionzi huwa ina nguvu mara 1000 .
Je, unaweza kuwasambazia watu unao wajali?
Mimi nimeshafanya kwako....!!.

Pearl  soap  kiboko  ya  chunusi  na  madoa  na  mabaka  ya  kuungua  na  jua  tumia  sabuni  hii  leo  kwa  matokeo  Mazur  ya  ngozi  yako  wasiliana  nasi  kwa  no  0753606603  whtssp  nickson  health  conlt 

UMECHOSHWA NA MAUMIVU MAKALI YA MAGOTI/ MATATIZO YA MIFUPA ?(OSTEOPOROSIS) May 3, 2016 UMECHOSHWA NA MAUMIVU MAKALI YA MAGOTI/ MATATIZO YA MIFUPA ?(OSTEOPOROSIS) Huu ni ugonjwa ambao hutokea ambapo uimara wa mifupa unapopungua hivyo kuwa na asilimia uwezrkano mkubwa wa kuweza kupatampasuko au kuvunjika kwa urahisi na mara nyingi ugonjwa huu huambatana na maumivu makali ya mifupa. Ugonjwa huu unaweza kutokea iwapo kutakuwa na mabadiliko ya hormoni,upungufu wa madini kama calicium au vitamin D. Mifupa ina madini ambayo hutumika mwilini na kurejeshwa ili kuufanya mfupa uweimara na kuujenga, endapo yatatumika zaidi kuliko kurejeshwa katika mifupa,mifupa hudhoofu na hukosa uimara na hupunguza uzito.(normal peak bone mass is greater than normal bone loss) Uzito wa mfupa kwa kawaida kwa mtu kijana huwa ni 2.5 standard deviations uzito chini ya huo mtu anaweza kupata (Osteoporosis) tatizo la mifupa. Utajua uzito huo kwa vipimo maalumu yani kwa dual energy X-ray absorptiometry. Mara nyingi tatizo hili la mifupa hutokea katika uti wa mgongo (huweza kusababisha mgongo kupinda na kuuma), hutokea katika Magoti,katika nyonga na kifuani. VITU VINAVYOWEZA KUSABABISHA MATATIZO YA MIFUPA (OSTEOPOROSIS) -Upungufu wa hormone za Estrogen hii huwapata sana wenye menopause. -Ulevi -Upasuaji wa kuondolewa ovaries -Magonjwa ya figo -(Hyperthyroidism) tatizo la utengenezwaji wa thyroid homoni nyingi kipita kiasi na hivyo kusababisha mwili usifanye kazi vizuri -(Anorexia)uzito Mdogo kupita kiasi unao sababishwa na tabia ya kujinyima kula kupita kiasi,kufanya mazoezi kupita kiasi kwa kuogopa kunenepa au kutaka mtu abaki akiwa na kilo chache sana ukilinganisha na urefu wake. -baadhi ya matibabu,madawa yenye kemikali(chemotherapy) kama steroids,proton pump inhibitor na anti seizure medications -Uvutaji wa sigara -kutokufanya mazoezi ya viungo vya mwili KINGA ZA MATATIZO YA MIFUPA (OSTEOPOROSIS) ~Zingatia ulaji mzuri hasa utotoni ~Epuka matibabu yenye kutumia kemikali ~Pendelea ulaji mzuri wa vyakula vya asili vyenye madini yakutosha na muhimu yanayo jenga mifupa ~acha au punguza matumizi ya pombe ~Fanya mazoezi ya kutosha na kunywa maji mengi ya kutosha MADHARA YANAYOWEZA KUSABABISHWA NA TATIZO HILI Maumivu makali ya mifupa katika Magoti,uti wa Mgongo,mabegani,kifuani au katika nyonga ~Kupinda Mgongo hasa wakati wa uzeeni ~Kuvunjika mifupa kwa urahisi MATIBABU YA OSTEOPOROSIS ~Kula kwa wingi chakula chenye kiasi kikubwa cha vitamins D na chenye madini ya calcium mfano maziwa,ubuyu,moringa Oleifera leaves n.k ~Tumia Dawa asili zinazofanya homoni za estrogens kuwa sawia(kwa wanawake) ~Tumia Dawa zitakazo saidia kukupatia madini ya calicium ya kutosha na itakayo weza kuimarisha mifupa. ~Mafuta ya samaki na samaki wa maji baridi kwa wingi upate fatty acid. ~Mafuta ya nazi nimazuri kwa mifupa. kwa maelezo zaidi na matibabu ya uhakika ya matatizo ya mifupa, na matatizo mengine kama Matatizo ya uzazi,upungufu wa nguvu za kiume,kukosa kwa  ushauri  wasiliana  nasi  kwa  no  0753606603  whtssp  /sms
TIBA SAHIHI YA TATIZO LA TATIZO AU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ( April 25, 2016 TIBA SAHIHI YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME / TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Upungufu wa nguvu za kiume ni Ile Hali ya mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa na pia hushindwa kukamilisha tendo la ndoa kwa ufasahaTatizo hili linawakabiri wanaume wengi duniani karibia 46% ya wanaume wanasumbuliwa na tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume na hivyo kuwa na athari nyingi sana na kusababisha ndoa za watu kuvunjika na idadi ya uchepukaji kuongezekaMara nyingi mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume anakua Hana uwezo wa kumridhisha mwanamke Kwenye tendola ndoa na hivyo kuwa chanzo cha mahusiano na ndoa nyingi kuvunjika CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME Vyanzo vya upungufu wa nguvu za kiume ni vingi sana navyo ni÷ 1)UPIGAJI PUNYETO MARA KWA MARA 2)MSONGO WA MAWAZO 3)MAZINGIRA YASIYORIDHISHA KUFANYA TENDO LA NDOA 4)ULEVI ULIOKITHIRI 5)KUPOOZA/KUUGUA STROKE 6)KUUGUA KISUKARI KWA MUDA MREFU 7)ULAJI MBOVU WA VYAKULA HASA VYAKULA VYENYE MAFUTA MENGI 8)KUTUMIA DAWA ZA KEMIKALI eg, viagra, estrogen, diuretic, tranquillizers, digoxin, NK 9)KUUMIA KWA KINENA (GROIN) 10)KIWANGO KIDOGO CHA TESTERON 11)KUUGUA CHANGO LA KIUME AU NGIRI ~ DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEMwanaume anayekabiliwa na tatizo Hilo la nguvu za kiume huwa na Dalili zifuatazo »»HUKOSA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA ~huwa Hanauwezo wa kutamani kufanya tendo la ndoa, tatizo hili husababishwa na msongo wa mawazo »»KUTOKUA NA UWEZO WA KUSIMAMISHA UUME ~Hali hii hutokea kutokana na kutokuwepo kwa mzunguko wa damu wa kutosha Kwenye uume »»UUME HUSINYAA NA KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA ~uume wa mwanaume husinyaa na kuwa mdogo na kurudi ndani hivyo huwa Hana uwezo wa kukamilisha tendo la ndoa, Hali hii husababishwa na upigaji punyeto kwa muda mrefu »»KUFIKA KILELENI MAPEMA ~mwanaume hushindwa kufanyamapenzi kwa dakika hata 15 hivyo huwahi kupeez ndani ya dakika 5 »»KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA ~mwanaume hushindwa kurudia mzunguko wa pili hivyo akifika mzunguko wa kwanza anakuwa Hana uwezo wa kuendelea, Hali hii husababishwa na kutokua na msukumo wa damu wa kutosha =»MADHARA YA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME~KUSABABISHA KUPATA UKIMWI ~hii hutokana na wanawake kutokuweza kuvumilia tatizo hili na hivyo kutoka nnje ya ndoa kutimiziwa haja zake~ »»KUWA MLEVI ~Mara nyingi wanaume wenye tatizo hili hukata Tamaa mapema na kuamua kujihusisha na pombe kwa madai ya kupunguza stress~ »»KUVUNJIKA KWA MAHUSIANO AU NDOA ~mwanamke hushindwa kuvumilia tatizo hili na hivyo kuamua kuvunja mahusiano au ndoa kwa madai ya kutopewa haki yake ya msingi~ »»KIFO ~baadhi ya wanaume hufikia hatua ya kujiua kutokana na kusumbuka sana na tatizo hili kwa muda mrefu hvyo hujionaHana thamani JINSI YA KUJIKINGA NA UGONJWA HUU Jambo zuri ni kuzingatia afya yako na kujiwekea balance diet »KULA UGALI WA DONA KILA SIKU »KUNYWA SUPU YA PWEZA MARA KWA MARA »FANYA MAZOEZI MARA KWA MARA »EPUKA VYAKULA VYENYE MAFUTA »ACHA KUJIPIGA PUNYETO »ACHA KUTUMIA DAWA ZA KEMIKALI (VIAGRA) »PUNGUZA KITAMBI NA MWILI Makala hii imeandaliwa na NICKSON  MORI  Whatsapp/Call/Smm +255 0753606603  N.B;Ndugu msomaji wa blog hii kama una tatizo hili au una ndugu/jamaa mwenye tatizo hili unaweza kumpa namba yangu ya simu akawasiliana nami kwa ushauri na msaada

FAHAMU UGONJWA WA MASUNDOSUNDO AU KUOTA VINYAMA SEHEMU ZA SIRI NA SEHEMU MBALIMBALI ZA MWILI (GENITAL WARTS & SKIN) January 21, 2016 Habari rafiki, natumaini mnaendelea vizuri leo napenda nizungumzie tatizo la kutokewa vinyama katika sehemu za siri na sehemu mbalimbali za mwili, (Masundosundo /vigwaru /genital warts & skin) ~MASUNDOSUNDO /VIGWARU /GENITAL WARTS & SKIN NI NINI?? ~NI vinyama Laini vidogovidogo vinavyoota kwenye ngozi au utando Laini unaozunguka maeneo ya sehemu za siri, vinyama hivyo vinaweza kutokea kwenye uume, uke, mrija wa mkojo (urethra), maeneo yanayozunguka haja kubwa na sehemu mbalimbali za mwili, ~Ugonjwa huu unaenezwa kwa njia ya kujamiiana (SEXUAL TRANSMITTED INFECTION) STI) CHANZO CHA TATIZO HILI ~Ugonjwa wa Masundosundo husababishwa na virus waitwao HUMAN PAPILLOMA VIRUS ( HPV) hata hivyo Kuna Aina tofauti za virus wa HPV hivyo sio wote wanaosababisha tatizo hili kwani Kuna ambao wanaosababisha Masundosundo katika sehemu tofauti kama vile mkono, mgongoni, mguuni nk pia HPV huweza kasababisha saratani ya shingo ya kizazi(CARCINOMA OF THE CERVIX) kwa wanawake, na pia huweza kusababisha saratani ya sehemu ya haja kubwa (ANAL CANCER) kwa jinsia zote mbili ~Ugonjwa huu wa Masundosundo umejitokeza kwa kiasi kikubwa baada ya kuwepo kwa janga la UKIMWI hivyo watu wenye wapenzi wengi, wanaofanya mapenzi kwa njia ya mdomo na haja kubwa, wajawazito, watumiaji wakubwa wa sigara na pombe, watu wenye upungufu wa kinga mwilini wapo katika hatari ya kupata ugonjwa huu DALILI ZA MASUNDOSUNDO ~mgonjwa wa tatizo hili hutokewa na vinyama Laini vidogovidogo vinavyoota kwenye katika maeneo tofauti (MFANO HALISI TIZAMA KATIKA PICHA) ingawa wakati mwingine huwa ni vidogo kiasi cha kutoweza kuonekana kwa njia ya kawaida. ~mgonjwa kupata ganzi maeneo yaliyozungukwa na Masundosundo ~kutokwa na uchafu mzito sehem za siri na kuwashwa kupita maelezo ~kutokwa damu ukeni mara baada ya kufanya tendo la ndoa NOTED :mwanaume huwa anachelewa kupata dalili na huwa na uwezekano mkubwa wa kuambikiza wenza wao MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA UGONJWA HUU ~matibabu ya tatizo hili hupatikana kirahisi iwapo tatizo halijachelewa kupatiwa tiba, matibabu hutolewa kwa kufuata utaratibu wa Majibu yaliyopatikana katika vipimo mbalimbali, matibabu hayo huweza kuwa ya kuviondoa vinyama kwa kufanya operations au kutumia dawa, hata hivyo njia ya operation sio nzuri sana kwasababu huweza kutengeneza madhara zaidi na uwezekano mkubwa wa kupata kansa hivyo tiba nzuri ni kutumia dawa ambazo zitatibu na kuondoa tatizo hilo na mgonjwa kupona kabisa ila cha kuzingatia ni kwamba ugonjwa huu ni wa kuambikiza hivyo inashauriwa wenza wote kupata matibabu hata kama atajihisi hana dalili yoyote ni vyema akafanya vipimo ili kujihadhari kabla ugonjwa haujaleta madhara zaidi. ~Waswahili wanasema bora kinga kuliko matibabu hivyo ni vyema ukajiepusha na ugonjwa huu kwa kuepuka yafuatayo 👉EPUKA KUWA NA WAPENZI WENGI 👉EPUKA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE 👉ACHA ORAL SEX UKISHINDWA BASI KUWA NA MPENZI MMOJA TU AMBAYE NDIO UNAWEZA KUMNYONYA SEHEMU ZAKE ZA SIRI ZINGATIA MAPENZI UJUZI LAKINI AFYA YAKO NI MALI ZAIDI WADADA/WAKAKA WENGI MMEKUA MKITAKA KUWARIDHISHA KILA MNAOKUTANA NAO KIMWIL KWA KUWANYONYA SEHEMU ZA SIRI KITU AMBACHO KINAKUWEKA KATIKA HATARI YA KUPATA UGONJWA HUU NA KANSA YA KOO. 👉EPUKA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA, SIGARA NA POMBE KUPITA KIASI NOTED :NDUGU RAFIKI ugonjwa huu una madhara makubwa unaweza kusababisha kansa ya kizazi, kansa ya uume, kansa sehemu ya haja kubwa NK hivyo hakikisha unapata matibabu ya uhakika iwapo una tatizo hili au ikiwa hauna jitahid kujiepusha na vihatarishi vya ugonjwa  imeandaliwa na NICKSON  MORI   USISAHAU KUSHARE, KUCOMENT, KULIKE 0753606603  whtssp  /  sms 

MAGONJWA YANAOWEZA KUAMBATANA NA TATIZO LA UNENE ULIOPITILIZA -Kisukari -Shinikizo la damu (hypertension) -Kiharusi (Stroke) -Magonjwa ya moyo -Tatizo la kutopumua vizuri wakati mtu yupo usingizini (Sleep apnea) -Vijiwe katika mfuko wa nyongo (Gallstones) -Kiwango cha juu cha lijamu kwenye damu (cholesterol ikiwemo triglycerides) -Ugonjwa wa mifupa kama yabisi (osteoarthritis). -Saratani ya matiti -Saratani ya tezi dume (prostate cancer) -Saratani ya utumbo mpana pamoja na maeneo ya haja kubwa (Colorectal cancer) -Matatizo ya mzunguko na mishipa ya damu kama vile kuvimba kwa vena za miguuni (varicose veins) Tiba ya tatizo hili ni mhusika kujitambua ya kwamba ana tatizo na kuwa tayari kupunguza uzito. Mabadiliko ya tabia ya mhusika ni muhimu sana, mabidiliko haya yawe ndio mfumo wa maisha yake ya kila siku. Kupungua uzito na kujilinda au kutunza uzito ulionao baada ya kupunguza uzito ni jambo la msingi sana na inahusisha mazoezi, chakula na madiliko ya tabia ya mtu. MABADILIKO YA TABIA - Hii inahusisha muhusika kupunguza kiwango cha chakula anachokula lakini kiwe chenye virutubisho vyote muhimu vya afya na kuongeza kiwango cha ufanyaji mazoezi. Mazoezi - Mazoezi husaidia kupunguza uzito hasa kipindi cha miezi sita ya mwanzo na hutunza uzito uliokusudiwa kwa muda mrefu. Pia hupunguza mafuta ya mwilini, huongeza ufanisi wa moyo, hupunguza tatizo la shinikizo la damu (hypertension), na kuweka sukari katika kiwango kinachohitajika mwilini. Kama hujazoea kufanya mazoezi ni vizuri uanze taratibu na ujiwekee lengo kwa kufanya mazoezi kwa muda wa nusu saa kila siku, siku tano kwa wiki,(dakika 30 kila siku kwa siku tano kwa wiki). Mazoezi mazuri ni kama kuogelea, kuendesha baiskeli, kutembea, kunyanyua vitu vizito (visiwe vyenye uzito mkubwa), mazoezi ya viungo na kadhalika. CHAKULA - Msingi wa kupunguza uzito au unene ni kujua ni kiwango gani cha calories mwili wako unahitaji kwa siku ili ule unakula chakula ambacho hakitazidisha au kupunguza kiwango cha calories unazohitaji kwa siku. Mlo mzuri ni ule ulio na matunda kwa wingi, mboga za majani, nafaka ambazo hazijakobolewa, mafuta kidogo (less saturated fat). Vyakula vengine ni kama mayai, nyama isiokuwa ya mafuta (lean meat), samaki, kuku na vingineyo. WANAWAKE AMBAO WANA UZITO WA KUPITILIZA (OBESE WOMEN) WAKIWA WAJAWAZITO WAKO KWENYE HATARI YA KUPATA MADHARA YAFUATAYO; -Kisukari cha mimba (Gestatitional diabetes) - ---- -kisukari hiki kinatokea wakati wa ujauzito na hupotea baada ya kujifungua mtoto. -Shinikizo la damu (hypertension) wakati wa ujauzito -kifafa cha mimba (pre-eclampsia & eclampsia) -Kuzaa kwa njia ya upasuaji (caesarean section) -Tatizo la kiumbe kutopata hewa vizuri wakati wa ujauzito (fetal distress) Ondokana na tatizo hili kwa kupata virutubisho asili :vitakavyo Ondoa mafuta yaliyozidi mwilini. :vitakavyo kupunguza uzito na unene wa mwili wako. :Vitakavyoondoa mafuta katika damu. :Kurekebisha mafuta katika tishu. :Vitaondoa sumu mwilini

SPIRULINA PLANTESIS Ni kirutubisho kilichotengenezwa kwa mimea ya baharini ijulikanayo Kama Arthrospira Plant,kidonge Kimoja cha spirulina ni sawa na mtu aliyekula kilo moja ya matunda na kilo moja ya mboga za majani. KAZI YA SPIRULINA 1-Huongeza CD4 kwa wenye HIV 2-Ina control high blood pressure 3-Husaidia kwa watumiaji wa computer na simu kwa muda mrefu. 4-Inaondoa mafuta mwilini. 5-Inalinda mwili kupata Kansa. 6-Inaondoa sumu Kwenye damu. 7-Huondoa ugonjwa wa kusinzia. 8-Ina vitamin B1,B2,B3,B6 na B9 pia ina vitamin C,D,A, na K 9-Inasaidia kwa wajawazito kumpatia mtoto virutubisho tumboni. 10-Inasaidia kwa watu wenye aleji ya kitu chochote. 11-Huongeza kinga ya mwili (Immunity) wasiliana  nasi  kwa  no  0753606603 

NEPBABY DISPOSABLE BABY DIAPERS Ni aina ya DIAPERS za watoto kutoka Kampuni ya Neptunus zenye ubora wa hali ya juu sana. Matumizi Ya Diapers Yamerahisishia Wamama Wengi Hasa Walioajiriwa Kutokana Na Ufinyu Wa Muda wa kufua .Lakini Wakati Mwingine Hizi Diapers Zimeleta Matatizo Mengi Kwa Watoto Hasa Kutokana Na Aina Ya Malighafi Iliyotumika Kutengenezea. Diapers zingine hazipitishi hewa hivyo husababisha Bacteria aina Anaerobic Bacteria kuzaliwa.Hawa ni Bacteria ambao wanazalishwa katika mazingira ambayo hewa ya Oxygen haipiti matokea yake watoto wanapata Ugonjwa Kwenye Njia Ya Mkojo Maarufu Kama U.T.I,Kuwashwa Na Fungus. UBORA WA NEPBABY DIAPERS Nepbaby disposable diapers zimetengenezwa kwa malighafi ya pamba laini ambayo huruhusu hewa kupita vizuri lakini pia kufanya mtoto kuwa na furaha wakati wote kwasababu haimchubui,wala kusababisha muwasho wa aina yoyote.zifuatazo ni faida zake: 1.ALOE: Nepbaby diapers zina aloe ambayo humlinda mtoto na maradhi ya aina mbalimbali ikiwemo muwasho,fungus,u.t.i na kuzuia bacteria wanaozaliwa kwenye unyevu nyevu na hasa mazingira ambayo hewa ya oxygen inakosekana. 2.INDICATOR(KIASHIRIA): Nepbaby diapers zina indicator(kiashiria) ambayo huonyesha kama mkojo umejaa na inatakiwa kubadilishwa,hivyo kumfanya mwangalizi wa mtoto kutambua haraka kuwa anatakiwa kubadilisha. 3.POLYMERS NA PAMPBA LAINI: Zimetengenezwa kwa malighafi zenye uwezo wa kufyonza mkojo au maji maji kwa wingi hivyo kumwacha mtoto kuwa mkavu na kumuepusha na muwasho wa aina yoyote na kuwa huru. 4.ZINAONDOA HARUFU MBAYA:Zinamkaa mtoto vizuri na pembeni iko na malighafi inayozuia mkojo kupita na kuondoa harufu mbaya ( foul smell). 5. UTUNZAJI WA MUDA: Zinamsaidia mama kupata muda wa kufanya shughuli zingine za kiuchumi hasa katika swala la utafutaji  ::::::nitafute  kwa  no  0753606603 

Jamani kuna mdudu (anafanana na mnyoo) anaye kaa kwenye mboga za majani pia huyo mdudu hafi kwa kupikwa unashauriwa kuosha mboga za majani kwa chumvi na maji ya uvuguvugu maana ni mdogo anaganda kwenye mboga hizo za majani kama konokono na ana umbo dogo ila akiingia tumboni anakuwa haraka. Dalili ni tumbo kuvimba kwa haraka na ndani ya muda mfupi (3 to 6 hours) inategemea na immunity yako. Pamoja na maumivu ya tumbo Dawa bado haijafahamika lakini mpaka sasa tiba yake ni OPERATION kubwa ya tumbo kumtoa huyo mdudu Kuna mtoto alivimba tumbo baada ya kumla na amefanyiwa operation leo ila amefariki ni hapa Tanzania tena Arusha Mwezi mmoja na nusu ulopita mimi mkomole kaka angu akiwa kazini kwake (Ni afisa kilimo alitumia mboga mboga alizolima bustanini kwake alifanyiwa Operation hospitali ya ILEMBULA -Mbeya Namshukuru Mungu anaendelea vizuri) Jamani tuwe makini na mboga za majan hasa za kula kwa mamantilie LIKE kisha #SHARE na washkaji taarifa ziwafikie #SNWW
Madaktari wa Tanzania katika hospitali ya taifa ya Muhimbili, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, wakishirikiana na wenzao wa India wamefanikiwa kufanya upasuaji wa moyo wa aina yake Tanzania. Upasuaji huo ujulikanao kama ‘bypass surgery’ ulishirikisha kupandikizwa kwa mishipa ya damu kutoka sehemu nyingine ya mwili moyoni bila kutumia mashine ya kusimamisha moyo na mapafu. Kwa kawaida madaktari wanasema upasuaji wa moyo hufanyika baada ya moyo na mapafu kusimama, lakini upasuaji huo ulifanyika wakati moyo na mapafu vikifanya kazi. Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo na mishipa Bashir Nyangasa ameambia BBC kuwa upasuaji huo wa kupandikiza mishipa ya damu nje ya mshine ni wa kihistoria nchini Tanzania.  “Mgonjwa anaweza kutolewa mishipa ya damu kutoka miguuni au mikononi baada ya kupewa dawa ya usingizi na mishipa hiyo kupandikizwa kwenye mshipa wa moyo uliokuwa umeziba ili kuruhusu mzunguko wa damu wa moyo kama kawaida bila kutumia mashine,” amesema. Upasuaji huo wa moyo kwa njia ya kupandikiza umefanyika kwa watu wawili, ambao umeonesha mafanikio makubwa kwa kuwa hali zao zinaendelea vizuri . Dkt Nyangasa amesema kwa sasa hakuna haja ya Watanzania wenye matatizo ya moyo kwenda nje ya nchi kwa kuwa wao kama wataalam wameweza kufanya upasuaji huo.  Anasema madaktari sasa wanaweza kuhudumia wagonjwa wengi zaidi wenye uhitaji na kupunguza gharama kwa serikali ya kusafirisha wagonjwa wa moyo nje ya nchi. Mwandishi wa BBC aliyepo Dar es Salaam Esther Namuhisa anasema wengi wa wagonjwa wamekuwa wakisafiri hadi India ambapo wengi hukumbana na changamoto nyingi kupata huduma hiyo kifedha na hata kwenye upande wa lugha.
Na Mwandishi wetu. Leo katika makala za kajamii tujifunze nakuzitambua faida za Tango katika miili yetu, ikiwa watu wengi tunakula bila kujua faida zake katika maisha ya kila siku. Watu wengi tunapenda matunda Fulani kwa ladha yake tuu bila kutaka kupata faida, katika mwili ikiwa faida ya baadhi ya matunda ni pamoja na radha yamatunda mabalimbali.  1. Tango ni chanzo kizuri cha vitamin B. 2. Tango huupa mwili na vitamin. Asilimia 95 ya tango ni maji hivyo huupa mwili maji na kuusaidia kuondoa sumu mwilini kwani pia lina vitamin karibu zote ambazo mwili huhitaji kila siku. 3. Tango pia hutumika kwenye matunzo ya ngozi/urembo ambapo huwekwa machoni na kuondoa vimbe hasa kwa watu ambao umri umeanza kusogea kwani tango lina virutubisho vya kuondoa vimbe hizi na pia lina silicon na sulfur ambazo husaidia ukuwaji wa nywele. 4. Tango lina virutubisho kama lariciresinol, pinoresinol na secoisalariciresinol ambavyo kulingana na tafiti mbali mbali za magonjwa ya kansa husaidia kupunguza aina mbali mbali za kansa kama kansa ya matiti, kansa ya mifuko ya mayai kwa wanawake, kansa ya kizazi kwa wanawake na kansa ya tezi dume kwa wanaume. 5. Tango husaidia kuondoa harufu mbaya kinywani. 6. Tango huondoa hangover kwa watumiaji wa pombe kwani lina vitamin B ambazo husaidia kupunguza ukali wa maumivu ya kichwa pale unapoamka asubuhi ila unatakiwa kula kabla ya kulala ili uamke ukiwa vizuri.  7. Tango husaidia kupungua uzito na mmeng’enyo uende vizuri. Kutokana na kiasi kidogo cha sukari kilichopo kwenye tango na kiasi kikubwa cha maji, tango ni tunda sahihi kukusaidia upungue uzito. Kiasi cha maji kilichopo kwenye tango na Kamba Kamba zake huusaidia mwili kuondoa sumu katika mfumo wa chakula na kusaidia mmeng’enyo wa chakula. Unapokula tango kila siku pia hukusaidia wewe mwenye choo kigumu au usiyepata choo kabisa kwa muda mrefu kuondokana na tatizo hilo. 8. Tango husaidia wagonjwa wa kisukari, hupunguza mafuta mafuta kwenye mishipa ya damu na huweza kudhibiti shinikizo la damu aina zote mbili (Low and high blood pressure). Tango lina hormone ambayo huhitajika kwenye chembechembe za kongosho (pancreatic cells) ilikuweza kutengeneza insulin ambayo husaidia kudhibiti kiwango cha sukari kwenye mwili hivyo kuwasaidia wagonjwa wa kisukari. Pia watafiti wamegundua kuwa kuna kirutubisho kiitwacho sterol kwenye tango ambacho husaidia kupunguza mafuta kwenye mishipa ya damu. Tango lina kiwango kikubwa cha potassium, magnesium na Kamba Kamba ambazo husaidia sana kudhibiti shinikizo la damu aina zote yani high blood pressure na low blood pressure. 9. Husaidia afya ya viungo, huondoa gout na ugonjwa wa baridi yabisi (Arthritis). Tango ni chanzo kizuri cha silica ambayo inafahamika kusaidia afya ya viungo kwa kuimarisha viunganishi vya viungo (connective tissue). Pia tango lina Vitamin A, B1, B6, C & D, Folate, Calcium, Magnesium na potassium ambavyo hufanya tango linapochanganywa na juice ya karoti huweza kutibu gout na baridi ya yabisi (arthritis) kwa kupunguza kiwango cha tindikali kwenye mkoo (Uric acid). 10. Kutokana na maji na virutubisho vilivyopo kwenye tango, tunda hili husaidia kupunguza homa pale inapopanda. Nadhani tutakuwa tumeelimika kwa kufahamu umhimu wa tunda aina ya tango ikiwa tunda hili halivutii kula kwa kuwa halina radha nzuri sana pia halina harufu inayosikia kuwa hili ni Tango kwa kukazia tango lina asilimia kubwa ya maji. Zingatia Madini ya Potassium yanayopatikana katika matango ndicho chakula cha moyo kwa sababu huwezesha moyo kupiga mapigo katika hali ya kawaida. Ulaji wa matunda na vyakula vyenye kiwango kikubwa cha potassium kama tango ni muhimu sana hasa kwa mtu mwenye tatizo la moyo, shinikizo la chini la damu.
Kabichi ni zao linalolimwa mahala pengi sana hapa duniani.Mara nyingi mboga hii imekuwa ikichukuliwa kama ni aina fulani inayotakiwa kuliwa na watu wa chini au kutumika katika kachumbari tu.Huwa inatumika zaidi sehemu za jumuiya kama vile shule,magerezani na vyuoni kwani gharama yake ni ndogo hivyo mnunuzi anaweza kuhimili kuinunua kwa matumizi ya watu wengi.Mboga hii ina manufaa mengi sana mwilini lakini iwe ya rangi ya kijani,nyekundu au hata zambarau na sio ile iliyokaa sana sokoni hadi kusinyaa,hiyo haina manufaa kabisa kwa mwili wa binadamu. FAIDA ZA KABICHI; 1.Huzuia saratani-Ulaji wa kabichi huzuia saratani ya matiti,utumbo mpana na saratani ya korodani(testes)kwa wanaume.Kwani ina madini yanayosaidia kupigana na visababishi vya saratani.Pia huzuia uwezekano wa kupata magonjwa ya moyo. Mboga hii huondoa lehemu (cholesterol)katika damu,kwani huleta shinikizo kubwa la damu pale yanapojaa,pia huweza kusababisha kiharusi na moyo kupasuka.Hivyo kabichi husaidia kuondoa. 2.Kuondoa sumu mwilini-Kabichi ina Vitamin C kwa wingi kuliko hata machungwa,pia ina kampaundi za sifa,vitu hivi huisaidia sana kusafisha damu na kuondoa sumu mwilini.Pia huimarisha ini hivyo kulifanya lifanye kazi vizuri. 3.Ina Vitamin kwa wingi-Kabichi ina Vitamin A,B,C,E na K kwa wingi ambazo zina faida kubwa sana mwilini kama; a.Vitamin A huisaidia kuimarisha ngozi na uwezo wa kuona. b.Vitamin B huimarisha uwezo wa kutafakari na kuboresha utendaji wa kazi wa ubongo na kuzuia msongo wa mawazo. c.Vitamin C huimarisha kinga ya mwili na kuzuia visababishi vya saratani d.Vitamin E hufanya ngozi ya mwili kuwa nyororo e.Vitamin K huimarisha mifupa na uhusika na ugandaji wa damu pale unapoumia. Manufaa mengine ni kama vile kulinda mwili na maambukizi ya magonjwa mbalimbali,pia hutibu vidonda vya tumbo,kwani utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha tiba cha Stanford,iligundulika kuwa wagonjwa 13 walipona vidonda vya tumbo kwa kunywa juisi ya kabichi.Pia hupunguza tatizo la kufunga choo kwani ina kambakamba zinazosaidia kulainisha choo na vilevile ina madini ya salfa na chuma yanayosaidia kusafisha utumbo. JINSI YA KUANDAA KABICHI; Kabichi inapendekezwa sana kuliwa ikiwa mbichi kwa kuongezwa ndimu na chumvi ili kuleta ladha nzuri kama vile kachumbari,vilevile unaweza tu ukaichemsha supu yake lakini isiive sana kiasi cha kuua virutubisho vyake,inapendekezwakuchemka kwa dakika 4-5 tu. ANGALIZO;Ulaji wa kabichi uliopitiliza huweza kusababisha ugonjwa wa Rovu(goiter)kwa hiyo watu wenye tatizo la rovu wasile kabichi kwa wingi.
 Sababu nyingi sana zinaweza kuchangia kupungua kwa nguvu za misuli ya uke na na tumbo la chini kwa ujumla ikiwemo ujauzito, umri mkubwa, kuzaa watoto, upasuaji na kua na uzito mkubwa. Mazoezi ya kegel husaidia kukaza misuli inayoshikilia viungo vya chini ya tumbo ikiwemo mfuko wa uzazi, kibofu cha mkojo, utumbo na uke.. Wanawake wengi ambao wana misuli iliyolegea hawafiki kileleni kirahisi wakati wa tendo la ndoa na wakati mwingine huhitaji uume mnene ili kusugua mishipa yao ya fahamu ya uke kirahisi na kufika kileleni kuliko wanaofanya mazoezi haya. Lakini pia mzazoezi haya husaidia kuzuia mkojo kutoka wakati wa kucheka, kushindwa kuzuia mkojo ukibana na kushindwa kuzuia choo kubwa ikebana.. Elimu ya afya ya nchi ambazo hazijaendelea kama Tanzania hujali zaidi kutibu na kuzuia magonjwa ila sio matatizo kama haya.. Hivyo kama mwanamke una tatizo hili au mwenzako ana tatizo hili twende pamoja ili uweze kurudi kwenye maisha yako bora ya zamani ulipokua mbichi.. Jinsi ya kufanya mazoezi haya…. Tafuta msuli sahihi… Kuufahamu msuli wa kuufanyia mazoezi nenda chooni kukojoa alafu katikati ya kukojoa zuia mkojo. Ukifanikiwa huo ndio msuli sahihi.. Fanya mazoezi sasa…. Baada ya hapo malizia mkojo wako kisha nenda kitandani..lala kwa mgongo kaza msuli uleule uliokaza wakati wa kuzuia mkojo. Kaza msuli kwa sekunde kumi kisha legeza kwa sekunde kumi. Kua makini…. Kwa matokeo mazuri kaza msuli huo tu, usikaze misuli ya tumbo, mapaja au makalio. Usibane pumzi pumua tu kawaida wakati wa zoezi hili. Fanya mara tatu kwa siku.. Kaza na kuachia msuli huo mara kumi asubuhi, vivo hivyo mchana na jioni.. lakini pia unaweza kukaza msuli huo popote ulipo ata kama hakuna sehemu ya kulala kwa mgongo. Kwenye foleni ya benki, kwenye gari, ukiwa ofisini kwani hakuna mtu atakayegundua unafanya nini.. Mwisho: mambo yote ninayo ongelea kwenye hii blog yanawezekana tu iwapo mtu ana bidii ya kufanya kitu husika. Usifanye kitu kwa wiki moja ukategemea mabadiliko yeyote. Kila kitu kinahitaji bidii kupatikana katika maisha ya binadamu.kwa maelezo zaidi soma hapa
KAMA WEWE MWANAUME UNA TATIZO LA KUFIKA KILELENI HARAKA KABLA MPENZI WAKO HAJARIDHIKA SOMA HAPA .  Pre mature ejaculation ni nini? Hii ni hali ambayo mwanaume anatoa mbegu mapema sana kipindi cha tendo la ndoa na mara nyingi huambatana na kushindwa kumridhisha mpenzi wake. Tatizo hili limekua likiwapata wanaume wengi na kujisikia aibu mbele za wenzi wao pale wanaposhindwa kuendelea kabisa baada ya hali hii kutokea. Kimsingi mwanaume anatakiwa achukue dakika nne mpaka nane kabla ya kutoa mbegu za kwanza lakini watafiti wanasema tatizo hili hugundukiwa mtu anapotoa mbegu ndani ya dakika moja au kabla ya dakika moja. Tatizo hili huweza kutokea mara tu baada ya kubalehe,{primary pre mature ejaculation} mda mrefu baada ya kubalehe{secondary PE} au kutokana na aina ya mwanamke uliompata.{situational PE} Chanzo ni nini? Tatizo hili halina sababu za kitaalamu zilizofanyiwa utafiti zikakakubalika ila wanasayansi wanaamini sababu zifuatazo zinaweza kua chanzo kikuu cha tatizo hilo. · Kupiga punyeto haraka kipindi cha kubalehe kuogopa kukutwa na watu. · Kukaa mda mrefu sana bila kushiriki tendo la ngono. · Kuwa na wasiwasi kipindi cha tendo la ndoa kwamba huenda mwanamke anaweza akavaa akaondoka kabla hujaridhika. · Madhara ya dawa zinazofanya kazi kwenye mishipa ya fahamu. · Kurithi tatizo kwenye ukoo. I;e genetically inherited. · Magonjwa ya mfumo wa uzazi wa mwanaume mfano prostatitis. Diagnosis{ kuutambua ugonjwa] Mwanaume yeyote ambaye anatoa mbegu chini ya dakika moja ni muhanga wa hili tatizo na anatakiwa apewe matibabu. Matibabu Matibabu ya ugonjwa huu yamegawanyika sehemu kuu mbili kulingana na ukali wa tatizo husika. · Non pharmacological treatment{matibabu yasiyo hitaji dawa}: matibabu haya hupewa watu ambao wanahimili mpaka dakika tatu bila kutoa mbegu. · Pharmacological treatment{matibabu yanayohusu dawa}: matibabu haya hupewa watu ambao hutoa mbegu ndani ya dakika moja baada ya kuanza kushiriki tendo la ndoa, watu hawa hushauriwa kutumia na mbinu zote mbili za matibabu. Yafuatayo ni matibabu yasiyohitaji dawa. · Tumia condom: Condom ni moja ya tiba nzuri ya tatizo hili kwani hufanya kazi kwa kupunguza hisia kali za mapenzi mtu anazozipata pale ambapo hatumii condom. · Kandamiza perineum kwa kidole:Perineum ni eneo kati ya mkundu na korodani, ile sehemu ikikandamizwa na kidole huweza kuzuia kukojoa haraka . · Punguza wasiwasi: hebu lifikirie tendo hili kama njia ya kujifurahisha sio njia pekee ya kutafuta kutoa mbegu, hii itakusaidia kuondoa mawazo ya kutafuta mbegu na kuchelewa kumaliza. · Fanya taratibu: picha za ngono zinadanganya sana watu kwamba kulala na mwanamke lazima ufanye kwa haraka haraka kama bata. HAPANA; ukifanya taratibu ndio njia nzuri ya kumfikisha mwenzako na wewe kuchelewa kufika kileleni. · Badilisha style: ile style ya zamani ya kumlalia mwanamke kwa juu{missionary position} inaleta msuguano mkubwa kwenye kichwa cha uuume hivyo itakufanya ufike haraka sana. · Tumia style ya wewe mwanaume kutangulia chini afu mwanamke juu au kulala kwa upande wote mnaangalia upande mmoja hii itakusaidia sana kuchelewa · Toa mawazo kwamba unafanya ngono: hebu jaribu kufikiria mambo mengine ya kikazi au masomo wakati unafanya tendo hilo, hii itakupunguzia hisia kali za mapenzi na kuchelewa kufika. · Fanya na kuacha: hii ni ile hali ya kuzuia msuguano pale unapoona unakaribia kutoa mbegu kwa kama sekundi 30 kisha unaanza upya. Hakikisha haufiki “point of no return”. pointi ambayo huwezi kujizuia tena kumaliza. · Kandamiza sehemu ya shingo la uume: hii sehemu ya shingo ya uume kwa chini ambayo ukiibana itakusaidia kuanza upya tena kihisia. Nimetumia shingo la uume kwasababu najua uume hauna mabega. tumia kilevi: unywaji wa pombe mfano bia mbili kwa siku kwa wanaume au bia moja kwa siku kwa wanawake unasidia sana mfumo wa moyo lakini sio bia tu hata wine, whisky au kilevi chochote kwa kiwango kidogo kama glass moja kwa siku..pamoja na faida ya moyo, pombe hupunguza kidogo nguvu ya mishipa ya fahamu na kufanya mtu aliyekunywa kuchelewa sana kufika kileleni, [watu wanaokunywa pombe lazima mtakubaliana na hili] hivyo unaweza kunywa bia, wine au whisky nusu saa kabla ya tendo na kuondoa shida hii. · Matibabu ya kutumia dawa. 1. Serotonin reuptake inhibitors mfano paroxetine na clomipramine zimefanya kazi nzuri ya kuzuia mara 20 zaidi kutoa mbegu zikitumika vizuri. 2. anesthetic creams: hii ni dawa zinazopakwa kwenye kichwa cha uume kuzuia msisimko kipindi cha tendo hilo mfano lidocaine cream.. mwisho: shida hii inaathiri sana watu wanokaa muda mrefu sana bila kushiriki kingono, nakushauri utumie pombe au dawa kama ukijikuta umekaa mda mrefu sana bila kushiriki ngono lakini kama hua unalala na mwanamke angalau mara nne kwa wiki huhitaji dawa wala pombe kwani tatizo kwako litapungua sana...kwa maelezo zaidi soma hapa

Cucumbers are number four most cultivated vegetable in the world and known to be one of the best foods for your overall health, often referred to as a super food. Pick a handful of firm, dark green cucumbers and drop them into your shopping cart. Congratulations! You have just bought yourself stuff full of good health.

Cucumber rehydrates body

If you are too busy to drink enough water, eat the cool cucumber, which is 90 percent water. It will cheerfully compensate your water lost.

Cucumber fights heat inside and out

Eating cucumber will get your body relief from heartburn. Apply cucumber on your skin and you will get relief from sunburn.

Cucumber eliminates toxins

All that water in cucumber acts as a virtual broom, sweeping waste products out of your body. With regular eating, cucumber is known to dissolve kidney stones.

Cucumber replenishes daily vitamins

Cucumbers have most of the vitamins the body needs in a single day. A B and C, which boost your immune system keep you radiant and give you energy. Make it more powerful by juicing cucumber with spinach and carrot. Don’t forget to leave the skin on because it contains a good amount of vitamin C, about 12 percent of the daily recommended allowance.
Cucumber supplies skin friendly minerals

Cucumber is high in potassium, magnesium and silicon. That is why spas abound cucumber based treatments.

Cucumber aids in digestion and weight loss

Due to its high water and low calorie content, cucumber is an ideal source for people who are looking for weight loss. Use cucumbers in your soups and salads. If it is not your favorite snack you can crunchy cucumber sticks with creamy low fat yogurt dip. Chewing cucumber gives your jaws a good workout and the fiber in it is great for digestion. Daily consumption of cucumbers can be regarded as an aid for chronic constipation.

Cucumber revives the eyes
Cucumber juice heals and refreshes diseased gums. Get a slice of cucumber and press it to the roof of your mouth with your tongue for a half minute, the phytochemcials will kill the bacteria in your mouth responsible for causing unpleasant breath.

Cucumber smoothes hair and nails

The wonder mineral Silica in cucumber makes your hair and nails shinier and stronger. The sulfur and silica in cucumbers help to stimulate your hair growth.

Cucumber promotes joint health, relieves arthritis and gout pain

As cucumber is an excellent source of silica it promotes joint health by strengthening the connective tissues. When mixed with carrot juice, cucumber can relieve gout and arthritis pain by lowering levels of the uric acid.

Cucumber cures hangover

To avoid a morning headache or hangover you can eat a few cucumber slices before going to sleep. Cucumbers contain enough B vitamins, sugar and electrolytes to replenish many essential nutrients and reducing the severity of both hangover and headache.

Cucumber keeps kidneys in shape

Cucumber lowers uric acid levels in your body and though keeping the kidneys healthy.
Placing a chilled slice of cucumber over puffy eyes is a clichéd beauty visual but it really can help reduce under-eye bags and puffiness due to its anti inflammatory properties.

Cucumber fights cancers

Cucumber is known to contain secoisolariciresinol, lariciresinol and pinoresinol. The three lignans have a strong connection with reduced risk of several cancer types, including ovarian, breast, prostate and uterine cancer.

Cucumber cures diabetes, reduces cholesterol and controls blood pressure

Cucumber juice contains a hormone which is needed by the cells of the pancreas for producing insulin which is widely spread to be beneficial to diabetic patients. Researchers have found that a compound called sterols in cucumbers can help decrease levels of cholesterol. Cucumbers contain a lot of fiber, potassium and magnesium. These nutrients work effectively for regulating blood pressure. That is why cucumber is good for treating both high blood pressure and low blood pressure.

-

As we age, our mind’s cognitive capacity begins to deteriorate. This is part of the inevitable, natural process of aging that takes its toll on all aspects of human life. While we cannot prevent the effects of aging, we can slow them down, and even reverse them in some cases. Memory loss is a frightening subject for most of us, but the good news is that there are some measures we can take to slow our cognitive decline. Here are seven brain activities that will improve your memory in the long run:
1. Learn a New Language!
Learning a new language can benefit you on many levels. Not only does it add to your personal skill set, but it’s also an outstanding brain exercise that can prevent, delay or even reverse memory loss. Language-learning activities will help you remember, recognize and understand words, which will take your cognitive function to a whole new level. Language learning is a great weapon against memory loss that improves vocabulary and grammar, as well as the elements of mental and verbal fluency.
2. Puzzles and Word Games Are Also Great
Another brain exercise that will enrich your general knowledge and help prevent memory loss is playing word games and solving crosswords or other puzzles. It can be Sudoku or a Scrabble game – whatever appeals to you, as long as it stimulates your mind with new words and makes you associate them with objects or actions. It is now known that playing different word games and doing crossword puzzles on a daily basis can significantly reduce the risk of developing Alzheimer’s disease later in life.
3. Never Underestimate the Power of Music!
Music, and music therapy (commonly referred to as ‘melotherapy’) provides great brain exercise as well, since it not only improves your mental focus but also supports healthy long-term cognitive functioning. While it is claimed that listening to classical music can help babies and young children boost their brainpower and improve verbal fluency skills, music is also a great ‘treatment’ for memory loss. Simply listen to your favorite kind of music on a daily basis, and try to remember the melody or lyrics (and sing or hum along), and you will find it both useful and entertaining!
4. Don’t Be Ashamed to Talk to Yourself
Studies have revealed that people who talk to themselves actually have a lower risk of developing dementia later in life. In other words, talking to yourself and even telling yourself stories is an outstanding way to delay memory loss and to stay focused on important details. Moreover, this is also a great ‘emotional exercise.’ Storytelling has been used in the treatment of Alzheimer’s for a long time, and it has turned out to useful in improving memory function by helping you retain more information.
5. Read Different Books and Try to Remember the Plots
Who doesn’t like to read a good book every once in a while? They say that a man who does not read only lives one life, but one who reads can live a thousand lives. This is why one of the greatest brain exercises you can do to prevent memory loss is to read as much as you can, and as often as you can. From books and essays to newspaper or magazine articles, you should read anything that draws your attention. You can do it in your spare time at home, or while riding the train or waiting in a line. Another great tip is trying to remember the plot of the books you read years ago – it definitely helps strengthen the memory!
6. Try Brain-Building Exercises
There are numerous games and exercises that are specifically designed for boosting your brain. Also, hand-eye coordination is particularly important for stimulating your mind and preventing memory loss. You do not need to exhaust yourself with demanding brain exercises; you can rely on easy or moderate exercises that activate the neurons and the synapses, thus sending immediate messages to the nervous system and helping prevent cognitive deficits.
7. Mnemonic Devices Also Come in Handy!
Last, but not least, a mnemonic device is a ‘tool’ that helps you remember things easier. For instance, you can associate a visual image with a name or a word to help you remember a person, or you can associate an acronym with a bigger word. On the other hand, alliterations, rhymes and jokes are three other great ways to remember names, facts, figures and other essential information.
These are seven efficient brain exercises that you can rely on to help prevent or delay memory loss as you age. Used individually or combined, these exercises will undoubtedly help you stay focused and alert, both right now and during your senior years.




-


For more than a week now lawmakers in Parliament have been haggling in an on and off debate on the suffering of patients stranded in public hospitals due to shortage of medicine.

The crux of the matter, it is explained, is the government’s failure to pay over 90bn/- it owes the Medical Supplies Department (MSD).

To redress this situation, some of the MPs last week went to the extent of proposing that the current Bunge sessions be postponed and the money accruing from their allowances, well to the tune of 100m/-  to each, daily, be channelled to buy medicines for the needy patients.

Sensing that their clamours were yet to be heard, on Monday, they came up a bit louder, demanding government’s emergency plan to be put in place to save Tanzanians suffering and dying due to the shortage of medicines in hospitals.

This showdown however has not been in the failure to supply medicines alone.

Constructions of some buildings meant to boost the state of health delivery in the country have often gone unfinished for years.
Irked by the situation, MPs told the august House on yesterday that the leading regional hospital in the designated capital of Dodoma, needs only 600m/- to finalise construction of a maternal and child health building that has remained dormant for at least eight years.

Yet people have always been denied the services that would have been offered by such a facility were it to be completed on time.

Well such are some of the burgeoning challenges that some of our people have to grapple with because of the manner in which we manage our institutions.

But one may ask, if a leading public hospital like Muhimbili National Hospital in the county’s blossoming commercial hub and a regional hospital in the state’s designated capital would go without the basic health needs like medicines, beds and equipment, then how could the situation in dispensaries and health centres in the villages look like?

We are compelled to ask such difficult questions particularly when keeping in mind that 80 per cent of Tanzanians live in rural areas where medical facilities are nonexistent and where they exist, they have always gone without medical supplies.

Apparently, the problem that the parliament, government and MSD are haggling about is not that medicines are not available in country.

They are galore. The state run distributor, Medical Store Department (MSD) has only refused to release them on grounds that the government should pay 90bn/- owed to the former. The argument is fecund and principled given the prevailing market circumstances.

There is no way out, but the government should pay. But while it is aware of this it has only embarked on half-baked measures which may in the final analysis ruin the very rationale of medicine supplies by MSD.

Bewilderment come to the reign when the same hospitals that lack medicines, staff and even beds are the very ones told by the government to give up the little revenue they garner from cost sharing.

The question is all arguments put forward, who should therefore rescue the patients from this quixotic predicament?

It looks as if the way the government is taking up this matter, there no ready solutions to it at the moment. But shall we be made to believe that truly there are no solutions to this problem?
We believe there are. The government should immediately source for money and pay the debt to have the patients secure medical supplies. This should not be allowed to take long.



- - - -
12:13 P.M. PST --  Federal investigators tell TMZ they want to know what caused the scaffolding to malfunction.  We're told OSHA (Occupational Safety and Health Admin.) has launched "an inspection" into the incident.

11:23 A.M. PST --  Both window washers have been rescued. NY firefighters broke open a window and pulled the workers to safety. The FD just updated its Twitter feed, reporting "scaffolding emergency, under control."

Two window washers are stuck on a scaffolding outside the 68th floor of 1 World Trade Center in New York City ... and the FDNY is staging a rescue.

The workers were reportedly heading to the top of the building at around 12:42 PM ET when their scaffold's motors or cables broke.

The FDNY will reportedly break through the glass of the building in order to get to the workers. More than a dozen FDNY units have been dispatched to the scene.




- - - -
Children painful struggle with tumour and stunted growth


- -


The issue of most people reject the act of some people smoking in public or in vehicles has been talked different parts and when it came to the Parliament of the United Republic of Tanzania was once made into law discuss that prohibited. 

Today there is new information, you know the British parliament presents that disapoint proposed rules ban smoking in public? In February 2015, we can expect major changes expected UK where family law and child adoption if the British Parliament approve that law which bans smoking in passenger transport vessels for the protection of children. 

Secretary General of the Ministry of Health UK, Jeremy Hunt is expected to make an announcement about changes to the law arising out next month, although some analysts do not see as enactment of the law will help solve the problem.




- -